Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,720
- 29,240
Habari za mchana ndugu zangu.
Naomba mnisaidie jambo moja. Ni jinsi gani naweza jua kuwa nimeitwa ktk usaili kupitia website ya umishi?
Wengi walinielekeza niangalie matangazo.. sasa nimepata shida kidogo kwani matangazo ninayo yaona kwenye website ya utimishi(ajira portal) ni yale yenye nafasi za kazi latest.
Naomba kufahamishwa ni jinsi gani naweza jua kuwa nimeitwa usahili?
Naomba mnisaidie jambo moja. Ni jinsi gani naweza jua kuwa nimeitwa ktk usaili kupitia website ya umishi?
Wengi walinielekeza niangalie matangazo.. sasa nimepata shida kidogo kwani matangazo ninayo yaona kwenye website ya utimishi(ajira portal) ni yale yenye nafasi za kazi latest.
Naomba kufahamishwa ni jinsi gani naweza jua kuwa nimeitwa usahili?