Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,177
- 3,316
'We Men' ni series mpya ya Kitanzania inayoonyeshwa kwenye Instagram page ya Maxrioba. Maudhui yake ni ya mapenzi (kama kawa). Kwa story nzima mnaweza kwenda kuiangalia huko Instagram.
Technically hii series wanajitahidi. Hapa ninaongelea rangi ya picha, mwanga, namna shots na scene zilivyopangiliwa etc ni standard nzuri
Shida yangu ni sauti. Ninaelewa kwamba sauti wanarekodi pembeni kwenye sound booth na wanakuja kuiongezea baadae lakini haina uhasilia hata kidogo. Husikii sauti ya mazingira unasikia tu sauti ya anayeongea. Kama vile redioni au kwenye podcast. Mimi ninashauri watengenezaji wa hii series wawekeze kwenye mike nzuri zitakazo daka sauti pale pale wakiwa wanashoot ili uhalisia usipotee. Kama hawawezi basi wafanye foley aka warekodi hata majani yaliyokauka yakikanyagwa au upepo ukivuma, waongezee baadae kwenye post production. Hii kidogo italeta uhalisia.
Kingine ni lugha. Kwanini mnalazimisha kuchanganya kiingereza na kiswahili sehemu hata isiyo na ulazima? Mbaya zaidi mnalazimisha kuongea kama African Americans 😂. Mnachekesha kweli, alafu kwasababu mnalazimishia kiingereza na huyo anayewaandikia script hakijui vizuri, dialogue inakua haina uhalisia. Inakuwa mechanical, stiff and cardboard like.
Sana sana mnacopy na kupaste dialogue kutoka Western movies na series. Hata waigizaji wanonekana hawajui kuigiza kwasababu ya dialogue ya Kiingereza mbaya. Mfano ni anayeigiza kama Temba, he isn't natural at all. Yupo kama robot going through the motions. Karibia waigizaji wote pale hawapo natural kwasababu dialogue haipo natural. Ushauri wangu msichanganye lugha. Kama ni kiswahili fanyeni kiswahili tu.
Kama ni kiingereza ni kiingereza tu tena mtafute screenwriter mzuri atakaewaandikia dialogue nzuri na siyo kucopy na kupaste kutoka Power. Kama mtachanganya basi kiingereza kiendane na mazingira ya Kitanzania. We are not Black Americans.
Cha mwisho ni story na pacing. Ingawa episodes ni fupi lakini kuna scene nyingi ambazo wahusika wanapoteza muda kufanya vitu ambavyo havina msingi havisogezi story mbele. Hii kitu inatakiwa iwe fast paced yaani mtu ukiangalia huchomoki mpaka episode inaisha.
Sio mtu unaanza kutafuta kitu kingine cha kufanya huku unasubiri kitu kitokee ili plot isogee. Fix your script! Yangu ni hayo tu mmejitahidi sana, mkijirekebishe mnapokosea. All the best keep on growing!
Technically hii series wanajitahidi. Hapa ninaongelea rangi ya picha, mwanga, namna shots na scene zilivyopangiliwa etc ni standard nzuri
Shida yangu ni sauti. Ninaelewa kwamba sauti wanarekodi pembeni kwenye sound booth na wanakuja kuiongezea baadae lakini haina uhasilia hata kidogo. Husikii sauti ya mazingira unasikia tu sauti ya anayeongea. Kama vile redioni au kwenye podcast. Mimi ninashauri watengenezaji wa hii series wawekeze kwenye mike nzuri zitakazo daka sauti pale pale wakiwa wanashoot ili uhalisia usipotee. Kama hawawezi basi wafanye foley aka warekodi hata majani yaliyokauka yakikanyagwa au upepo ukivuma, waongezee baadae kwenye post production. Hii kidogo italeta uhalisia.
Kingine ni lugha. Kwanini mnalazimisha kuchanganya kiingereza na kiswahili sehemu hata isiyo na ulazima? Mbaya zaidi mnalazimisha kuongea kama African Americans 😂. Mnachekesha kweli, alafu kwasababu mnalazimishia kiingereza na huyo anayewaandikia script hakijui vizuri, dialogue inakua haina uhalisia. Inakuwa mechanical, stiff and cardboard like.
Sana sana mnacopy na kupaste dialogue kutoka Western movies na series. Hata waigizaji wanonekana hawajui kuigiza kwasababu ya dialogue ya Kiingereza mbaya. Mfano ni anayeigiza kama Temba, he isn't natural at all. Yupo kama robot going through the motions. Karibia waigizaji wote pale hawapo natural kwasababu dialogue haipo natural. Ushauri wangu msichanganye lugha. Kama ni kiswahili fanyeni kiswahili tu.
Kama ni kiingereza ni kiingereza tu tena mtafute screenwriter mzuri atakaewaandikia dialogue nzuri na siyo kucopy na kupaste kutoka Power. Kama mtachanganya basi kiingereza kiendane na mazingira ya Kitanzania. We are not Black Americans.
Cha mwisho ni story na pacing. Ingawa episodes ni fupi lakini kuna scene nyingi ambazo wahusika wanapoteza muda kufanya vitu ambavyo havina msingi havisogezi story mbele. Hii kitu inatakiwa iwe fast paced yaani mtu ukiangalia huchomoki mpaka episode inaisha.
Sio mtu unaanza kutafuta kitu kingine cha kufanya huku unasubiri kitu kitokee ili plot isogee. Fix your script! Yangu ni hayo tu mmejitahidi sana, mkijirekebishe mnapokosea. All the best keep on growing!