Kuhusu Wasafi TV ku-copy vipindi imekaaje?

EATV sio creative tena labda unatumia kisimbusi ambacho hakina Wasafi tv tafuta Zuku uangalie mambo acha kusikiliza maneno ya mitaani.

Kitu HD yani hutamani hata kuitoa
Mi sio mpenzi sana wa kuangalia tv ila kuna siku nilienda kwa wazee nimekaa siku nzima Basi nikawa busy na t.v. nilikuwa sijawah kuona Wasafi tv aaa ni copy na peste ya eatv tusidanganyane boss
 
Hongera naona umeenda kukopy google
READ ME


1. Jealousy is just hate and love at the same time.

2. Jealousy is a weak emotion.

3. Jealousy is for weak people.

And last but not least

4. Jealousy is a sure way towards hell.
 
Ukiangalia tv ya wasafi 95% ya vipindi vyao wamecopy na kupest kutoka EATV

Hata redio yao kwa kiasi kikubwa wamekopi earadio

Ukiondoa ile logo ya W ukawa unaangalia tv utajua unaangalia eatv
Wasafi wangekuja na ubunifu wao hata 50% vingine wamecopy

Wasafi mnafeli hata kabla ya mwaka kupinduka
Wewe unajua vipindi tu. Mpaka Logo yao ni copy na paste. Sasa usishangae.
 
Innocent Dependent
I
Member
Joined Saturday at 11:01 AM

Join date jmos aiseee njoo na ID yako maarufu acha kuniogopa bibie.

Point of correction domo ndo alitemwa
Achana na huyo dada ana hasira na Diamond kisa kamtema Zari utadhani yy ndio katemwa ndo maana comments zake ni za kumdis mondi si tunamjua ndo maana hatupati tabu nae
 
Mi sio mpenzi sana wa kuangalia tv ila kuna siku nilienda kwa wazee nimekaa siku nzima Basi nikawa busy na t.v. nilikuwa sijawah kuona Wasafi tv aaa ni copy na peste ya eatv tusidanganyane boss
Tufanye jambo moja mkuu, uuwe huu mjadala kwa kutaja vipindi, graphics, au maudhui yaliyoigwa kutok EATV ambayo wewe uliyaona alafu mimi nikukosoe au nikubaliane nawe.

Kama huna basi unachuki binafsi tu na wale watu ni creative hatari.
 
Innocent Dependent
I
Member
Joined Saturday at 11:01 AM

Join date jmos aiseee njoo na ID yako maarufu acha kuniogopa bibie.

Point of correction domo ndo alitemwa
Km diamond ndo katemwa hizo hasira zako juu ya diamond zinatoka wapi?
 
Pumba tupu umeandika Wasafi tv ina logo yao na mbele ya Logo yao kuna neno TUMEWASHA logo yao haipo kama sanamu ni logo hai.
EATV logo yao ni mfu (Mgando) haifanyi chochote.
Vipindi vya Wasafi tv baadhi havijapangiliwa bado na vingine tayari vimepangiliwa.
kuna Shutout hii inaanza saa 10-11
EATV muda huu wanakuwa na MCM,WCW,TBT n.k itategemea na siku husika tena vinaanza saa 9-10 11 na kuendelea inakuwa ni 5select.
Kuna kipindi kinaitwa kwetu hiki kinajumuisha segment kama tatu kuna kungwi, kusaidia wenye uhitaji au kuonyesha watu wanaohitaji platform n.k na kuna visanga.
EATV hawana kipindi kama hiki.
Kuna kipindi kinaitwa HIVI NI KWELI hiki ni gossip program mtangazaji anaitwa Mo town sanya ni creative genius maudhui yake ni kuonyesha vitu vilivyokuwa vikifanywa na mastaa alafu ghafla wakashuka au wameacha.

Kwa kifupi ni blunders za celebrities.
EATV hawana kipindi kama hiki wao wana E newz Mon-Frid.
Wasafi wana The next MVP hii inahusu upcoming superstars EATV hawana.
Wana The bartender inayoendeshwa na Babaako Jonijoo EATV hawana kipindi kama hiki.
Wana Refresh hii ni sawa na E newz ya EATV huwa inaruka saa 12:30 Mon-frid na ijumaa kinakuwa tofauti kidogo anakuwepo celebrity anafanyiwa mahojiano.
Wana Bongo dar es salaam EATV wana vipindi vyao pia vya filamu.
Wasafi Tv bado hawana program nyingi.
Wasafi Fm ndio ina program mbili tu yani Block 89 na The story book.
ACHA KUJIKUTA MKOSOAJI WAKATI HUJUI KITU BULLSHIT
Mkuu hicho cha The Bartender ratiba yake ikoje?
 
Sijui anachoshangaa hata WizKid lile jina LA starboy Siyo lakwake kaiba kwa msanii wa marekani anaitwa the weekend Sijui kesi imeishia wapi,But kukopi ni kawaida mbona.
The weekend alitoa Starboy huku tayari Wizkid anajiita Starboy.Fuatilia ni lini weekend ame release starboy na ni lini Wizkidayo amejiita starboy.
 
Wamefeli kivipi wakati hadi sasa hivi wana wadhamini 8 lakini pianNi moja kati ya redio Sasa hivi yenye watazamaji wengi pia na kwenye YouTube japo wameweka vipindi vichache
Mkuu umesema " ni moja kati ya redio yenye watazamaji wengi"....??
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom