Point!!!!!!bora wao wamekurupuka kuanzisha tv .na kuwapa watu ajira,
wew umekurupuka kuanzisha nn ambacho ata kinajulukana mtaan kwenu, ,
unafeliii
wamefeli kivp wakati Hadi Sasa hivi wanawadhamini 8 lakini pia Ni moja Kati ya redio Sasa hiv yenye watazamaji wengi pia na kwenye YouTube japo wameweka vpn vichache
Alimanisha You Tube kuna kipindi Wasafi FM wanaonesha live you tube na kwenye TV pia unasikiliza Radio.!
!
Radio Yenye Watazamaji Wengi?
Pumba tupu umeandika Wasafi tv ina logo yao na mbele ya Logo yao kuna neno TUMEWASHA logo yao haipo kama sanamu ni logo hai.
EATV logo yao ni mfu (Mgando) haifanyi chochote.
Vipindi vya Wasafi tv baadhi havijapangiliwa bado na vingine tayari vimepangiliwa.
kuna Shutout hii inaanza saa 10-11
EATV muda huu wanakuwa na MCM,WCW,TBT n.k itategemea na siku husika tena vinaanza saa 9-10 11 na kuendelea inakuwa ni 5select.
Kuna kipindi kinaitwa kwetu hiki kinajumuisha segment kama tatu kuna kungwi, kusaidia wenye uhitaji au kuonyesha watu wanaohitaji platform n.k na kuna visanga.
EATV hawana kipindi kama hiki.
Kuna kipindi kinaitwa HIVI NI KWELI hiki ni gossip program mtangazaji anaitwa Mo town sanya ni creative genius maudhui yake ni kuonyesha vitu vilivyokuwa vikifanywa na mastaa alafu ghafla wakashuka au wameacha.
Kwa kifupi ni blunders za celebrities.
EATV hawana kipindi kama hiki wao wana E newz Mon-Frid.
Wasafi wana The next MVP hii inahusu upcoming superstars EATV hawana.
Wana The bartender inayoendeshwa na Babaako Jonijoo EATV hawana kipindi kama hiki.
Wana Refresh hii ni sawa na E newz ya EATV huwa inaruka saa 12:30 Mon-frid na ijumaa kinakuwa tofauti kidogo anakuwepo celebrity anafanyiwa mahojiano.
Wana Bongo dar es salaam EATV wana vipindi vyao pia vya filamu.
Wasafi Tv bado hawana program nyingi.
Wasafi Fm ndio ina program mbili tu yani Block 89 na The story book.
ACHA KUJIKUTA MKOSOAJI WAKATI HUJUI KITU BULLSHIT
Kipindi chao hakijawa sawa,Hili Wema alishajibu zamani sana alisema kipindi Siyo cha pekee ni chawengi miongoni akiwa Zamaradi mketema aliyekuwa mke wa marehemu Ruge.So,wanaweka vitu sawa, kipindi kitaruka hewani kuwa mvumilivu tu.Hivi hiyo Tv haikumuajiri tena Wema Sepetu?
Nitajie kipindi chochote cha Wasafi tv ama Radio ambacho kimeigwa kutoka EATV au hata graphics tu ukikosa majina ya vipindi yaliyoigwa.Ndugu diamond kaa utulie ujibu vizuri
Wasafi mmkopy eatv vitu vingi tu
Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama
Mimi umri wa kukariri vipindi ushapita mkuu dripNitajie kipindi chochote cha Wasafi tv ama Radio ambacho kimeigwa kutoka EATV au hata graphics tu ukikosa majina ya vipindi yaliyoigwa.
Ukikosa hivyo vyote nitajie hata style ya utangazaji wa Wasafi presenters imeigwa kutoka kwa nani wa EATV kama huna kalale ukue
Itakuwa ashawahi kuliwa uroda na mondi halafu akatoswa bila kuhongwa hata karavafoo
Mkuu mikocheni junction sisi wanyamwezi tunapaita Maikocheni, muda huu natazama Wasafi tv sioni kipindi hata kimoja kilichokopiwa na Wasafi hata graphics huku ni unyamwezi tu.Mimi umri wa kukariri vipindi ushapita mkuu drip
Lakini ukweli usemwe Wasafi wamecopy viti vingi kukubali ni kauli ya kiungwana pia
Ahaha hapana boss apo nakukatalia eatv inamfumo halisi wa burudani ambako ndipo wasafi walipochukua contentsMkuu mikocheni junction sisi wanyamwezi tunapaita Maikocheni, muda huu natazama Wasafi tv sioni kipindi hata kimoja kilichokopiwa na Wasafi hata graphics huku ni unyamwezi tu.
EATV haina mvuto ukiitazama ni kama unatazama Clouds tv tu, ila Wasafi ni kama unatazama MTV Africa.
Tazama KTN burudani ndio utasema hii ni Wasafi kabisa ndio wamekopi
Viti=VituMimi umri wa kukariri vipindi ushapita mkuu drip
Lakini ukweli usemwe Wasafi wamecopy viti vingi kukubali ni kauli ya kiungwana pia
EATV sio creative tena labda unatumia kisimbusi ambacho hakina Wasafi tv tafuta Zuku uangalie mambo acha kusikiliza maneno ya mitaani.Ahaha hapana boss apo nakukatalia eatv inamfumo halisi wa burudani ambako ndipo wasafi walipochukua contents
Kuidharau eatv utakuwa Mtu wa ajabu ndio wametufungulia njia kumfaham vitu vya mbele miaka ile Internet ya kuifuata dukani
READ MEKama boss kutwa kuiba na kukopy beats hadi nyimbo za wengine sembuse wafanyakazi
Mzee Mzindakaya aliyewahi kuwa waziri enzi za Nyerere alinukuliwa akisema kwamba watanzania hatuendelei kwa sababu ya kuoneana wivu wa kijinga utafikiri wivu unamletea mtu chakula mezani au unamsaidia mtu kulipa ada ya watoto. Sasa ukiishi mazingira ambayo umezungukwa na mi Numbisa kama 100 , utachomoka kimaisha kweli ?Achana na huyo dada ana hasira na Diamond kisa kamtema Zari utadhani yy ndio katemwa ndo maana comments zake ni za kumdis mondi si tunamjua ndo maana hatupati tabu nae