Habari wanabodi.
Naomba nideclare interest,nimekuwa nikifatatilia toka kutangazwa kwa nafasi za kazi TRA,interview,majibu hadi kupatikana kwa walobahatika.
Kuna classmate wangu nilisoma naye a level special school flan hapa Tanzania,yeye akiwa boys mie nikiwa girls.
Miaka imeenda maisha yamebadilika and all that,mimi baada ya kugraduate tu niliajiriwa private firm then after a year nikaajiriwa serikalini,ambapo nipo hadi sasa.
Bahati nzur au mbaya yeye hakubahatika kuajiriwa toka tuna graduate kwakuwa tulimaliza mwaka mmoja varsity ila vyuo tofauti.
Walipotangaza nafasi akanitafuta akanambia nimpigie pande apate kwa wakubwa,nikamwambia hata bila wakubwa If you good utapata,anza kujiandaa tu.nilimjibu hivyo kwan sikupata support ya wakubwa kuingia government.nikamwambia anza kujiweka vizuri tu anzia oral hadi interview.
Kweli aliitwa interview akapita oral,akanijulisha kapeta nikampa moyo na kumsihi aendelee kujiweka vizuri upstairs,ingawa alinisihi sana nimpigie pande bt nilimsisitiza jiandae vyema ndo silaha and to pray hard.
Akaenda written matokeo yakatoka,hakuwepo kabisa binafsi nilisikia vibaya kwani nilikuwa na opportunity ya kumbeba bt i thought he is good atapeta tu.
Kuna mdau anaitwa perry amekua akipost na kuonyesha kuhuzunika kukosa post TRA,nikajisikia vibaya sana kwani nimekuwa namcall rafiki yangu but hapokei simu zangu wala kujibu text.
But my friend,jipe moyo wakati ukifika you will not regret.nikiri nilichukulia poa suala lako ila kama mtumishi wa umma nilipaswa kuacha system ijudge na kuamua wanaodeserve the most.
So kwako perry ,my friend na wote mlokosa post hizo jipeni moyo wakati wa bwana ukifika itakuwa tu.
Naomba nideclare interest,nimekuwa nikifatatilia toka kutangazwa kwa nafasi za kazi TRA,interview,majibu hadi kupatikana kwa walobahatika.
Kuna classmate wangu nilisoma naye a level special school flan hapa Tanzania,yeye akiwa boys mie nikiwa girls.
Miaka imeenda maisha yamebadilika and all that,mimi baada ya kugraduate tu niliajiriwa private firm then after a year nikaajiriwa serikalini,ambapo nipo hadi sasa.
Bahati nzur au mbaya yeye hakubahatika kuajiriwa toka tuna graduate kwakuwa tulimaliza mwaka mmoja varsity ila vyuo tofauti.
Walipotangaza nafasi akanitafuta akanambia nimpigie pande apate kwa wakubwa,nikamwambia hata bila wakubwa If you good utapata,anza kujiandaa tu.nilimjibu hivyo kwan sikupata support ya wakubwa kuingia government.nikamwambia anza kujiweka vizuri tu anzia oral hadi interview.
Kweli aliitwa interview akapita oral,akanijulisha kapeta nikampa moyo na kumsihi aendelee kujiweka vizuri upstairs,ingawa alinisihi sana nimpigie pande bt nilimsisitiza jiandae vyema ndo silaha and to pray hard.
Akaenda written matokeo yakatoka,hakuwepo kabisa binafsi nilisikia vibaya kwani nilikuwa na opportunity ya kumbeba bt i thought he is good atapeta tu.
Kuna mdau anaitwa perry amekua akipost na kuonyesha kuhuzunika kukosa post TRA,nikajisikia vibaya sana kwani nimekuwa namcall rafiki yangu but hapokei simu zangu wala kujibu text.
But my friend,jipe moyo wakati ukifika you will not regret.nikiri nilichukulia poa suala lako ila kama mtumishi wa umma nilipaswa kuacha system ijudge na kuamua wanaodeserve the most.
So kwako perry ,my friend na wote mlokosa post hizo jipeni moyo wakati wa bwana ukifika itakuwa tu.