Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Hawa Walinzi wa Aliyekuwa Rais wa JMT Hayati John Pombe Magufuli wamefanya kazi ya kutukuka. Wamefanya kazi kwa ueledi na ufanisi Mkubwa. Leo mpendwa wao na boss wao katutoka...
Kwa namna walivyofanya kazi tunaomba uendelee nao ama waende kwa Makamu wa Rais ajaye. Tuwape fursa zaidi kwa kazi walioimudu kuliko kuwarudisha Makumbisho PSU. Kuna yule Black, Yule wa Sigda kichwani na moja hivi mwembamba mrefu anapigaga miwani.
Kwa yule ADC basi naye akirudi jeshini kama kawaida umpe Ubigredia kama watangulizi wake. hawa ni mashujaa wetu na wamepata maumivu makubwa mno kutokana na hiki kifo. Mungu awape faraja ya milele
Kwa namna walivyofanya kazi tunaomba uendelee nao ama waende kwa Makamu wa Rais ajaye. Tuwape fursa zaidi kwa kazi walioimudu kuliko kuwarudisha Makumbisho PSU. Kuna yule Black, Yule wa Sigda kichwani na moja hivi mwembamba mrefu anapigaga miwani.
Kwa yule ADC basi naye akirudi jeshini kama kawaida umpe Ubigredia kama watangulizi wake. hawa ni mashujaa wetu na wamepata maumivu makubwa mno kutokana na hiki kifo. Mungu awape faraja ya milele