Kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee: Mambo yako wazi ila wahusika wako kimya

Iliwahi kutokea kwa CUF pia lakini hii ya Chadema ni tofauti.

Akina Halima James Mdee na wenzake hawana uhalali wa kuwa bungeni tokea day one.

Mtu katoka jela usiku asubuhi anakuwa mbunge hicho ni kituko cha karne na aibu kubwa kwa mbunge mwenyewe ( kama ni mtu) na waliomuingiza!
Ukiwaeleza wewe kama hivi watakuelewa. Wamekuwa wakitetea ukanyagwaji wa katiba kwa sababu tu hilo lilikua linaonekana lina mkono wa Jiwe. Sasa hayupo, kama ilikua hofu ya kumuogopa Jiwe, tubadilike tuangalie ukweli. johnthebaptist unaonekana umeamua kusimamia ukweli, no matter what. Hivi watu wanashindwa hata kuangalia huo mfano wa huyo wa kutoka gerezani Singida akasafirishwa usiku kwa usiku kuelekea Dodoma kwenda kuwahi uapisho?? Uapisho wenyewe ulikua wa haraka haraka. Watavuta muda lakini ukweli unakuja na itakua aibu zaidi. CHADEMA wakikutana na Rais mambo yatakaa vizuri zaidi.
 
H

hitimisho lako linaukakasi.umeanza vzr lkn umemaliza vibaya.kwa nn huwashauri CDM wamwandike barua spika kuwa wabunge hao wamevuliwa uanachama.je spika anafanya kazi kwa kufuata vyombo vya habari au documents?acheni ushabiki humu kila mtu ana utashi wa kujua nn kinachoendelea.CDM wanajua kila kitu kuhusu sakata hili na wameamua kukaa kinywa.mwambieni Mbowe amwandikie barua spika tuone kama hajareact na kama unaamini kuwa kuna barua ameandikiwa spika hebu iwazi hapa janvini.
Mkuu, ipelekwe mara ya tatu? Ya kwanza ilipelekwa kwa dispatch na ya pili ilipelekwa kwa DHL, Zote ni December 2020.
 
Ofisi ya Spika inafanya uhuni kwenye jambo hili.. ni mbaya sana kuchezea katiba ya nchi namna hii.
 
Kwa mantiki ya uzi huu, Bunge lina wabunge wasio halali kisheria, je mambo wanayopitisha Bungeni yana uhalali gani kisheria?
Wanasheria tusaidieni katika hili!
 
H

hitimisho lako linaukakasi.umeanza vzr lkn umemaliza vibaya.kwa nn huwashauri CDM wamwandike barua spika kuwa wabunge hao wamevuliwa uanachama.je spika anafanya kazi kwa kufuata vyombo vya habari au documents?acheni ushabiki humu kila mtu ana utashi wa kujua nn kinachoendelea.CDM wanajua kila kitu kuhusu sakata hili na wameamua kukaa kinywa.mwambieni Mbowe amwandikie barua spika tuone kama hajareact na kama unaamini kuwa kuna barua ameandikiwa spika hebu iwazi hapa janvini.
Barua hiyo imepokelewa na Spika na ushahidi ni despatch.

Unataka nini tena zaidi ya hivyo??
 
Mkuu Wakili Msomi Petro E. Mselewa , hapo ambapo hautaki kupazungumzia, ndipo mimi ninapoanzia. Vyama vya siasa Tanzania, sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni public parties, ni mali ya umma, vinaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, haiwezekani, viongozi waitane na kukaa kama a kangaroo court na kujiamulia kuwatimua tuu wanachama wake kama wanavyojisikia!. No Way. Lazima wafuate katiba, sheria, taratibu na kanuni. Katiba ya Chadema iko wazi, ni an open document ambayo iko kwa mujibu wa sheria na taratibu za nidhamu ziko wazi kabisa, lakini siku zote, Chadema inawatimua wanachama wake kienyeji enyeji tuu, bila kufuata taratibu. Hivyo huko kufukuzwa kwa wanachama hao ni batili!. Hii sio mara ya kwanza kwa Chadema kufanya madudu haya, wewe ni wakili msomi unajua maana ya ubatili, Halima Mdee ni mwanasheria msomi anazijua haki zake.

Chadema ilipofanya uhuni huo kwa kina Shonza, akina sisi tukalipigia kelele humu, Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!

Chadema ikaja kurudia madudu haya kwa Zitto, Kitila na Mwigamba, hawa jamaa wawili dhaifu wakakubali yaisha, Zitto akawagomea, mimi kama kawaida yangu, niliwashauri Chadema Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

Hivi hii timua timua Chadema imeizoea!. Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kwenye hili la wabunge 19 wa Chadema, CC ya Chadema, did the same same mistakes, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

Ikakaa as usual as a Kangaroo court, kama kilivyokuwa kinakaa huko nyuma na kutoa hukumu za ajabu ajabu ikiwemo timua timua, ambazo karma za hukumu hizo, zinakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari, tatizo, wakati wa karma payback time unapofika, when karma strikes back, hakuna anayekumbuka kuwa ni hukumu ya matendo yake ya nyuma!. Tatizo la karma, unaweza kufanya kitu kidogo, tuu, kwako ukakiona ni kidogo, it's nothing and insignificant, lakini when karma takes its toll, mapigo ya karma yanayokushukia ni mapigo makubwa in three folds, kulinganisha na ulichotenda, hadi huwezi kukumbuka ulifanya nini kustahili, kinachokupata. Ila pia, anayehukumiwa pasipo haki, karma pia huwa ina mtake care, na kumu elevate machoni pa watesi wake!.

Mifano ya Matendo ya Chadema, na Matokeo ya Karma Zake.
  1. Chadema walipo establish a torture chamber pale makao makuu yake na kumshughulikia ipasavyo Mlinzi wa Dr. Slaa, Kagenzi, nilionya kuhusu karma. Kwa vile hii ilikuwa ni internal operation, na mimi sio inside man wa Chadema, naombeni ndugu zangu wa Chadema, jifanyieni tathmini, nani alifanya nini, the roles walizo play, then angalia kilichokuja kuwakuta the players, na sasa Kagenzi yuko wapi na ana hali gani!. Bodigadi wa zamani wa Dr. Slaa, Khalid Kagenzi akanusha kutaka kumuua Dr. Slaa, Ya mke wa Slaa na Mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Tena tazameni karma ilivyo, aliyetuhumiwa kumpa sumu Kagenzi ili amtilie Dr. Slaa, na yeye alikuja kutiliwa sumu na ikamwingia na kumdhuri, tena alikuwa ni almanusura!, asingewahishwa saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
  2. Chadema mlipokuwa kwenye kikao chenu cha ndani, CC Arusha, kukatokea mtu miongoni mwenu aliyekuwa akivujisha jf, kilichokuwa kinajadiliwa ndani, mlimuita msaliti, kwa kuvujisha info humu JF, jiulizeni ni nani alimdakua mtu huyo, na mlimfanya nini!, then jikumbumbusheni kilichompata huyo kamanda shupavu aliyemshughulikia msaliti!. Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?
  3. Chadema mlipomtimua Juliana Shonza na masalia kwenye kangaroo court yenu, nililizungumzia hili, sasa leo angalieni waliomshughulikia Shonza, nini kiliwakuta, leo wako wapi, na mlinganishe na Juliana Shonza alipo!. Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
  4. Mlipowatimua kina Kitila kwa hoja ya ule Waraka wa Mabadiliko, ambao nyinyi mliuita ni waraka wa mapinduzi, mimi nikawaambie ule ni waraka wa kui transform Chadema kutoka Chama cha kiharakati, kukigeuza Chama Tawala in waiting, hivyo waraka ule haukuwa wa mapinduzi, bali a "winning coalition" kuu revamp uongozi static na stagnant wa Chadema, na kuleta uongozi mpya vibrant na dynamic, angalieni makamanda wa timua timua hiyo nini kiliwakuta, linganisha na mahali alipo Prof. Kitila, tena anakuwa Waziri kwenye key ministry!. Ningekuwa CC ya CHADEMA ningemsamehe Kitila Mkumbo
  5. Mlipomtimua Zitto kwa kutumia CC kangaroo, niliwauliza humu, CC ya Chadema, inapata wapi mamlaka ya kumuadhibu NKM wakati mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hakuna aliyejibu, angalieni nini kiliwakuta waliomtimua Zitto, na angalieni Zitto ni nani, tena anakwenda kuteuliwa mbunge wa kuteuliwa kwenye zile nafasi 10 za uteuzi za JPM, linganisha makamanda waliosimamia kutimuliwa kwa Zitto!. https://www.jamiiforums.com/threads...ie-mkajisahau-jiandaeni-kwa-karma.822703/Hiyo ni mifano ya dhambi ya dhana ya usaliti inavyoendelea kuitafuna Chadema ndani kwa, ndani, hapo sijamtaja Dr. Slaa, hadi watu kumuita Dr. Mihogo!, leo angalia waliombeza Dr. Slaa wako wapi, ulinganishe na mahali Dr. Slaa alipo!, haiwezekani watu na makamanda wameipigania Chadema kwa kuigharimikia kwa Machozi, Jasho na Damu, halafu leo uje uwaite wasaliti na kuwatimua kama mbwa!, kamwe Karma haiwezi kuacha salama Chadema!.
hiyo Kangaroo court ya Chadema ilipokutana kumhukumu Halima na wenzake, ndani ya majina yale 19 ya wabunge wa viti maalum wa Chadema, walioapishwa, wabunge 5 ni 'vidumu' vya wajumbe wa CC ya Chadema ambao sio vile 'vidumu' vya 'mpango kando', no!, ni vidumu vya cohabitation, mnaishi nyumba moja, mnalala chumba kimoja, kitanda kimoja!, huku mkiishi katika dhana ya ndoa, na kila mtu anawatambua kama mke na mume!, haiwezekani mwenza wako, akaibukia kwenye majina ya viti maalum bila wewe kujua, kisha akaamkia Bungeni Dodoma kuapishwa bila wewe, kujua!, namhurumia sana KM. JJ. Nnyika ni mtu muadilifu sana, lakini hajui, the games people plays behind his back. Ningekuwa mimi ndio JJ. Mnyika, kabla sijakurupuka kufanya lolote, ningefanya kwanza a due diligence, hao wabunge wameteuliwa na nani?, hiyo barua ya uteuzi imeandikwa na nani, imesainiwa na nani, inapelekwa kwa despatch gani na nani, ndipo mambo mengine yangefuata.

Miaka mingi nyuma nililizungumzia Chadema kuwa na kirusi, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
Sasa miaka mingi imepita nikajua sasa Chadema ni safi, kumbe bado!, na sio kuna kirusi, Chadema ina virusi!. Kikulacho...ki nguoni mwako!.

Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!

Pasco
Upuuzi mtupu, nilikuwa nakuamini ila sasa basi, sitakaa nikuamini tena.

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Wakili Msomi Petro E. Mselewa , hapo ambapo hautaki kupazungumzia, ndipo mimi ninapoanzia. Vyama vya siasa Tanzania, sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni public parties, ni mali ya umma, vinaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, haiwezekani, viongozi waitane na kukaa kama a kangaroo court na kujiamulia kuwatimua tuu wanachama wake kama wanavyojisikia!. No Way. Lazima wafuate katiba, sheria, taratibu na kanuni. Katiba ya Chadema iko wazi, ni an open document ambayo iko kwa mujibu wa sheria na taratibu za nidhamu ziko wazi kabisa, lakini siku zote, Chadema inawatimua wanachama wake kienyeji enyeji tuu, bila kufuata taratibu. Hivyo huko kufukuzwa kwa wanachama hao ni batili!. Hii sio mara ya kwanza kwa Chadema kufanya madudu haya, wewe ni wakili msomi unajua maana ya ubatili, Halima Mdee ni mwanasheria msomi anazijua haki zake.

Chadema ilipofanya uhuni huo kwa kina Shonza, akina sisi tukalipigia kelele humu, Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!

Chadema ikaja kurudia madudu haya kwa Zitto, Kitila na Mwigamba, hawa jamaa wawili dhaifu wakakubali yaisha, Zitto akawagomea, mimi kama kawaida yangu, niliwashauri Chadema Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

Hivi hii timua timua Chadema imeizoea!. Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kwenye hili la wabunge 19 wa Chadema, CC ya Chadema, did the same same mistakes, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

Ikakaa as usual as a Kangaroo court, kama kilivyokuwa kinakaa huko nyuma na kutoa hukumu za ajabu ajabu ikiwemo timua timua, ambazo karma za hukumu hizo, zinakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari, tatizo, wakati wa karma payback time unapofika, when karma strikes back, hakuna anayekumbuka kuwa ni hukumu ya matendo yake ya nyuma!. Tatizo la karma, unaweza kufanya kitu kidogo, tuu, kwako ukakiona ni kidogo, it's nothing and insignificant, lakini when karma takes its toll, mapigo ya karma yanayokushukia ni mapigo makubwa in three folds, kulinganisha na ulichotenda, hadi huwezi kukumbuka ulifanya nini kustahili, kinachokupata. Ila pia, anayehukumiwa pasipo haki, karma pia huwa ina mtake care, na kumu elevate machoni pa watesi wake!.

Mifano ya Matendo ya Chadema, na Matokeo ya Karma Zake.
  1. Chadema walipo establish a torture chamber pale makao makuu yake na kumshughulikia ipasavyo Mlinzi wa Dr. Slaa, Kagenzi, nilionya kuhusu karma. Kwa vile hii ilikuwa ni internal operation, na mimi sio inside man wa Chadema, naombeni ndugu zangu wa Chadema, jifanyieni tathmini, nani alifanya nini, the roles walizo play, then angalia kilichokuja kuwakuta the players, na sasa Kagenzi yuko wapi na ana hali gani!. Bodigadi wa zamani wa Dr. Slaa, Khalid Kagenzi akanusha kutaka kumuua Dr. Slaa, Ya mke wa Slaa na Mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Tena tazameni karma ilivyo, aliyetuhumiwa kumpa sumu Kagenzi ili amtilie Dr. Slaa, na yeye alikuja kutiliwa sumu na ikamwingia na kumdhuri, tena alikuwa ni almanusura!, asingewahishwa saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
  2. Chadema mlipokuwa kwenye kikao chenu cha ndani, CC Arusha, kukatokea mtu miongoni mwenu aliyekuwa akivujisha jf, kilichokuwa kinajadiliwa ndani, mlimuita msaliti, kwa kuvujisha info humu JF, jiulizeni ni nani alimdakua mtu huyo, na mlimfanya nini!, then jikumbumbusheni kilichompata huyo kamanda shupavu aliyemshughulikia msaliti!. Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?
  3. Chadema mlipomtimua Juliana Shonza na masalia kwenye kangaroo court yenu, nililizungumzia hili, sasa leo angalieni waliomshughulikia Shonza, nini kiliwakuta, leo wako wapi, na mlinganishe na Juliana Shonza alipo!. Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
  4. Mlipowatimua kina Kitila kwa hoja ya ule Waraka wa Mabadiliko, ambao nyinyi mliuita ni waraka wa mapinduzi, mimi nikawaambie ule ni waraka wa kui transform Chadema kutoka Chama cha kiharakati, kukigeuza Chama Tawala in waiting, hivyo waraka ule haukuwa wa mapinduzi, bali a "winning coalition" kuu revamp uongozi static na stagnant wa Chadema, na kuleta uongozi mpya vibrant na dynamic, angalieni makamanda wa timua timua hiyo nini kiliwakuta, linganisha na mahali alipo Prof. Kitila, tena anakuwa Waziri kwenye key ministry!. Ningekuwa CC ya CHADEMA ningemsamehe Kitila Mkumbo
  5. Mlipomtimua Zitto kwa kutumia CC kangaroo, niliwauliza humu, CC ya Chadema, inapata wapi mamlaka ya kumuadhibu NKM wakati mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hakuna aliyejibu, angalieni nini kiliwakuta waliomtimua Zitto, na angalieni Zitto ni nani, tena anakwenda kuteuliwa mbunge wa kuteuliwa kwenye zile nafasi 10 za uteuzi za JPM, linganisha makamanda waliosimamia kutimuliwa kwa Zitto!. https://www.jamiiforums.com/threads...ie-mkajisahau-jiandaeni-kwa-karma.822703/Hiyo ni mifano ya dhambi ya dhana ya usaliti inavyoendelea kuitafuna Chadema ndani kwa, ndani, hapo sijamtaja Dr. Slaa, hadi watu kumuita Dr. Mihogo!, leo angalia waliombeza Dr. Slaa wako wapi, ulinganishe na mahali Dr. Slaa alipo!, haiwezekani watu na makamanda wameipigania Chadema kwa kuigharimikia kwa Machozi, Jasho na Damu, halafu leo uje uwaite wasaliti na kuwatimua kama mbwa!, kamwe Karma haiwezi kuacha salama Chadema!.
hiyo Kangaroo court ya Chadema ilipokutana kumhukumu Halima na wenzake, ndani ya majina yale 19 ya wabunge wa viti maalum wa Chadema, walioapishwa, wabunge 5 ni 'vidumu' vya wajumbe wa CC ya Chadema ambao sio vile 'vidumu' vya 'mpango kando', no!, ni vidumu vya cohabitation, mnaishi nyumba moja, mnalala chumba kimoja, kitanda kimoja!, huku mkiishi katika dhana ya ndoa, na kila mtu anawatambua kama mke na mume!, haiwezekani mwenza wako, akaibukia kwenye majina ya viti maalum bila wewe kujua, kisha akaamkia Bungeni Dodoma kuapishwa bila wewe, kujua!, namhurumia sana KM. JJ. Nnyika ni mtu muadilifu sana, lakini hajui, the games people plays behind his back. Ningekuwa mimi ndio JJ. Mnyika, kabla sijakurupuka kufanya lolote, ningefanya kwanza a due diligence, hao wabunge wameteuliwa na nani?, hiyo barua ya uteuzi imeandikwa na nani, imesainiwa na nani, inapelekwa kwa despatch gani na nani, ndipo mambo mengine yangefuata.

Miaka mingi nyuma nililizungumzia Chadema kuwa na kirusi, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
Sasa miaka mingi imepita nikajua sasa Chadema ni safi, kumbe bado!, na sio kuna kirusi, Chadema ina virusi!. Kikulacho...ki nguoni mwako!.

Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!

Pasco
No wonder kawe walikunyima kura
 
Petro E. Mselewa ,

..Ndugai na Tulia wanaweza kusingizia kuwa Ofisi zao hazina taarifa ya Mdee na wenzake kutimuliwa ktk chama chao.

..sasa Mdee na wenzake wamekata rufaa ya kufukuzwa uanachama. Maana yake tayari wanajua hawana SIFA za kuwa wabunge.

..kwa msingi huo, Mdee na wenzake wanatakiwa waulizwe kwanini wanakwenda bungeni wakati wanajua wao sio wanachama wa chama cha siasa?

..mimi sio mwanasheria, lakini nadhani Mdee na wenzake wanatenda makosa ya MAKUSUDI kwa kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge.
 
Hayani uyu ndugai job karne anavunja katiba .kweli tugai ametuoa watz wote.
 
Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.

Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.

Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;

Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huo kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.

Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.

Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?

Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.

Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.

Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.

Hiki ndicho kisemwacho mara kwa mara mtaani kuwa "..politics is a dirty game...!!"

Uongozi wa Bunge, unacheza huu mchezo "kwa ujinga" mkubwa huku wakidhani na watu (watanzania) wote ni wajinga vilevile...

Funny enough, Spika Ndugai akaenda mbele zaidi akijaribu kujigeuza kuwa ni Mahakama na Hakimu kwa wakati mmoja huku akijaribu kuwavuta CHADEMA waingie ktk mtego wake huku akijua kabisa kuwa hataweza kupata anachokitafuta kutoka kwao...!

Jambo rahisi kabisa wanaloweza kulifanya hawa kina mama 19 kama wanadhani wameonewa na chama chao, ni kukimbilia mahakamani na kuomba mambo mawili au matatu tu;

1. Wanaweza kufungua shauri kuiomba mahakama ipitie maamuzi ya CHADEMA kama yalizingatia sheria na kanuni cha chama na haki za kikatiba za kila mtu

2. Ama wanaweza kuiomba mahakama iishinikize CHADEMA kuitisha kikao cha chombo cha rufaa (mkutano mkuu) ili kisikilize na kuamua shauri lao..

3. Kwa kuzingatia hoja #1, wanaweza pia kuiomba Mahakama isimamishe uamuzi wa CHADEMA wa kuwafutia uanachama wao mpaka shauri lao lisikilizwe na mahakama...

NADHANI, hiki ndicho ambacho Spika Ndugai angeweza kuwashauri hawa kina mama 19 iwapo Bunge lake linawajitaji sana ili kutekeleza wajibu wake wa kikatiba kiasi ambacho labda linadhani bila wao Bunge haliwezi kufanya lolote...

Lakini akifanyacho Spika Ndugai kwa sasa is just worthless drama...
 
Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.

Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.

Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;

Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huo kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.

Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.

Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?

Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.

Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.

Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
Nakubaliana na maoni yako kabisa kuhusu uachama wa hao 'wabunge' 19 wa viti maalum na kwamba 'wahusika wako kimya'. Ninavyoelewa mimi, mgogoro unapojitokeza kwenye chama au sehemu ya kazi na uamuzi ukatolewa - uwe uamuzi wa haki au usiwe wa haki, uwe umefuata mchakato au haukufuata mchakato sahihi - inabidi uheshimiwe na mwathiriwa atakayeona haki haikutendeka, basi ana haki ya kukata rufaa kwa ngazi za juu.

Ndiyo maana hata katika idara mbalimbali za serikali tunasikia 'waziri kamsimamisha x kupisha uchunguzi na y kwa sasa ndiye anayekaimu nafasi ya x'. Ina maana kwamba baada ya uchunguzi, kama x atakutwa hana hatia, badala yake mwenye hatia ni z, basi x atarejeshwa kazini na kulipwa stahiki zake alizopoteza wakati alipopisha uchunguzi. Spika kuwabeba hao wabunge wa viti maalumu 19, kwa upande wangu ndiye ninayeona kama hafuati utaratibu. Sina namna nyingine ya kuliweka hili na napenda Bunge litimize wajibu wake, chama kitimize wajibu wake na wabunge wa viti maalumu 19 nao watendewe haki na haya mambo matatu yakifanyika kila party itakuwa imetimiza wajibu wake. Njia mojawapo ya kutatua tatizo ni kuliita kwa jina lake (one of the ways to solve a problem is to name it).
 
Petro E. Mselewa ,

..Ndugai na Tulia wanaweza kusingizia kuwa Ofisi zao hazina taarifa ya Mdee na wenzake kutimuliwa ktk chama chao.

..sasa Mdee na wenzake wamekata rufaa ya kufukuzwa uanachama. Maana yake tayari wanajua hawana SIFA za kuwa wabunge.

..kwa msingi huo, Mdee na wenzake wanatakiwa waulizwe kwanini wanakwenda bungeni wakati wanajua wao sio wanachama wa chama cha siasa?

..mimi sio mwanasheria, lakini nadhani Mdee na wenzake wanatenda makosa ya MAKUSUDI kwa kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge.

Yaani hii drama iko wazi na kama ni kesi basi hata mgambo wa jiji anaweza kuiamua kwa haki ya 100% within a minute
 
Hivi kwani Chadema wakiteua wabunge na kuwapeleka Bungeni badala ya waliopo kuna tatizo gani?
Je ni lazima kina Halima na kundi lake ndio lazima wawe wao tu ?
Ina maana kina Halima na kundi lake ni wakubwa kuliko Katiba ya Chadema?
Ina maana kanuni,taratibu za Bunge pamoja na katiba za vyama vya siasa ni kubwa /muhimu kuliko Katiba ya nchi?
 
Mkuu Wakili Msomi Petro E. Mselewa , hapo ambapo hautaki kupazungumzia, ndipo mimi ninapoanzia. Vyama vya siasa Tanzania, sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni public parties, ni mali ya umma, vinaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, haiwezekani, viongozi waitane na kukaa kama a kangaroo court na kujiamulia kuwatimua tuu wanachama wake kama wanavyojisikia!. No Way. Lazima wafuate katiba, sheria, taratibu na kanuni. Katiba ya Chadema iko wazi, ni an open document ambayo iko kwa mujibu wa sheria na taratibu za nidhamu ziko wazi kabisa, lakini siku zote, Chadema inawatimua wanachama wake kienyeji enyeji tuu, bila kufuata taratibu. Hivyo huko kufukuzwa kwa wanachama hao ni batili!. Hii sio mara ya kwanza kwa Chadema kufanya madudu haya, wewe ni wakili msomi unajua maana ya ubatili, Halima Mdee ni mwanasheria msomi anazijua haki zake.

Chadema ilipofanya uhuni huo kwa kina Shonza, akina sisi tukalipigia kelele humu, Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!

Chadema ikaja kurudia madudu haya kwa Zitto, Kitila na Mwigamba, hawa jamaa wawili dhaifu wakakubali yaisha, Zitto akawagomea, mimi kama kawaida yangu, niliwashauri Chadema Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

Hivi hii timua timua Chadema imeizoea!. Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kwenye hili la wabunge 19 wa Chadema, CC ya Chadema, did the same same mistakes, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

Ikakaa as usual as a Kangaroo court, kama kilivyokuwa kinakaa huko nyuma na kutoa hukumu za ajabu ajabu ikiwemo timua timua, ambazo karma za hukumu hizo, zinakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari, tatizo, wakati wa karma payback time unapofika, when karma strikes back, hakuna anayekumbuka kuwa ni hukumu ya matendo yake ya nyuma!. Tatizo la karma, unaweza kufanya kitu kidogo, tuu, kwako ukakiona ni kidogo, it's nothing and insignificant, lakini when karma takes its toll, mapigo ya karma yanayokushukia ni mapigo makubwa in three folds, kulinganisha na ulichotenda, hadi huwezi kukumbuka ulifanya nini kustahili, kinachokupata. Ila pia, anayehukumiwa pasipo haki, karma pia huwa ina mtake care, na kumu elevate machoni pa watesi wake!.

Mifano ya Matendo ya Chadema, na Matokeo ya Karma Zake.
  1. Chadema walipo establish a torture chamber pale makao makuu yake na kumshughulikia ipasavyo Mlinzi wa Dr. Slaa, Kagenzi, nilionya kuhusu karma. Kwa vile hii ilikuwa ni internal operation, na mimi sio inside man wa Chadema, naombeni ndugu zangu wa Chadema, jifanyieni tathmini, nani alifanya nini, the roles walizo play, then angalia kilichokuja kuwakuta the players, na sasa Kagenzi yuko wapi na ana hali gani!. Bodigadi wa zamani wa Dr. Slaa, Khalid Kagenzi akanusha kutaka kumuua Dr. Slaa, Ya mke wa Slaa na Mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Tena tazameni karma ilivyo, aliyetuhumiwa kumpa sumu Kagenzi ili amtilie Dr. Slaa, na yeye alikuja kutiliwa sumu na ikamwingia na kumdhuri, tena alikuwa ni almanusura!, asingewahishwa saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
  2. Chadema mlipokuwa kwenye kikao chenu cha ndani, CC Arusha, kukatokea mtu miongoni mwenu aliyekuwa akivujisha jf, kilichokuwa kinajadiliwa ndani, mlimuita msaliti, kwa kuvujisha info humu JF, jiulizeni ni nani alimdakua mtu huyo, na mlimfanya nini!, then jikumbumbusheni kilichompata huyo kamanda shupavu aliyemshughulikia msaliti!. Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?
  3. Chadema mlipomtimua Juliana Shonza na masalia kwenye kangaroo court yenu, nililizungumzia hili, sasa leo angalieni waliomshughulikia Shonza, nini kiliwakuta, leo wako wapi, na mlinganishe na Juliana Shonza alipo!. Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
  4. Mlipowatimua kina Kitila kwa hoja ya ule Waraka wa Mabadiliko, ambao nyinyi mliuita ni waraka wa mapinduzi, mimi nikawaambie ule ni waraka wa kui transform Chadema kutoka Chama cha kiharakati, kukigeuza Chama Tawala in waiting, hivyo waraka ule haukuwa wa mapinduzi, bali a "winning coalition" kuu revamp uongozi static na stagnant wa Chadema, na kuleta uongozi mpya vibrant na dynamic, angalieni makamanda wa timua timua hiyo nini kiliwakuta, linganisha na mahali alipo Prof. Kitila, tena anakuwa Waziri kwenye key ministry!. Ningekuwa CC ya CHADEMA ningemsamehe Kitila Mkumbo
  5. Mlipomtimua Zitto kwa kutumia CC kangaroo, niliwauliza humu, CC ya Chadema, inapata wapi mamlaka ya kumuadhibu NKM wakati mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hakuna aliyejibu, angalieni nini kiliwakuta waliomtimua Zitto, na angalieni Zitto ni nani, tena anakwenda kuteuliwa mbunge wa kuteuliwa kwenye zile nafasi 10 za uteuzi za JPM, linganisha makamanda waliosimamia kutimuliwa kwa Zitto!. https://www.jamiiforums.com/threads...ie-mkajisahau-jiandaeni-kwa-karma.822703/Hiyo ni mifano ya dhambi ya dhana ya usaliti inavyoendelea kuitafuna Chadema ndani kwa, ndani, hapo sijamtaja Dr. Slaa, hadi watu kumuita Dr. Mihogo!, leo angalia waliombeza Dr. Slaa wako wapi, ulinganishe na mahali Dr. Slaa alipo!, haiwezekani watu na makamanda wameipigania Chadema kwa kuigharimikia kwa Machozi, Jasho na Damu, halafu leo uje uwaite wasaliti na kuwatimua kama mbwa!, kamwe Karma haiwezi kuacha salama Chadema!.
hiyo Kangaroo court ya Chadema ilipokutana kumhukumu Halima na wenzake, ndani ya majina yale 19 ya wabunge wa viti maalum wa Chadema, walioapishwa, wabunge 5 ni 'vidumu' vya wajumbe wa CC ya Chadema ambao sio vile 'vidumu' vya 'mpango kando', no!, ni vidumu vya cohabitation, mnaishi nyumba moja, mnalala chumba kimoja, kitanda kimoja!, huku mkiishi katika dhana ya ndoa, na kila mtu anawatambua kama mke na mume!, haiwezekani mwenza wako, akaibukia kwenye majina ya viti maalum bila wewe kujua, kisha akaamkia Bungeni Dodoma kuapishwa bila wewe, kujua!, namhurumia sana KM. JJ. Nnyika ni mtu muadilifu sana, lakini hajui, the games people plays behind his back. Ningekuwa mimi ndio JJ. Mnyika, kabla sijakurupuka kufanya lolote, ningefanya kwanza a due diligence, hao wabunge wameteuliwa na nani?, hiyo barua ya uteuzi imeandikwa na nani, imesainiwa na nani, inapelekwa kwa despatch gani na nani, ndipo mambo mengine yangefuata.

Miaka mingi nyuma nililizungumzia Chadema kuwa na kirusi, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
Sasa miaka mingi imepita nikajua sasa Chadema ni safi, kumbe bado!, na sio kuna kirusi, Chadema ina virusi!. Kikulacho...ki nguoni mwako!.

Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!

Pasco
Brother Paskal hili konde ulilowapatia huyu anaejiita wakili na timu yao kwa ujumla hawasimami,

Kaka nakuvulia kofia umeiva kwenye hii tasnia ,habari umeipanga ikapangika, huyo Petro lazima ajione choo .ni muoga ,anaogopa kutukanwa kwa kuogopa kusema ukweli ,ni wakili tapeli tu.
 
Back
Top Bottom