Ngwakwiii
JF-Expert Member
- Dec 6, 2019
- 425
- 526
Kama nilivyotoa heading kwenye kichwa cha habari
Nashangaa tuu viongozi wangu wa chama na serikali wanavyoendelea kuwapanga machinga kwa msururu kwenye barabara zote za mitaa ya kariakoo, hivi hawajui na watembea kwa miguu nao wana haki zao?
Je, wenye maduka na walipa kodi wao watapaki magari au toroli za kuleta mizigo madukani wapi wakati meza zimepangwa pembezoni mwa maduka yao?
Siku pakitokea tatizo fire watapitisha wapi usafiri wao kwa kuokoa maisha na mali za waathirika?
Any way siasa acha ichukue mkondo wake mpaka tukio litokee ndo watu waanze kulaumiana na kutumbuana
Nashangaa tuu viongozi wangu wa chama na serikali wanavyoendelea kuwapanga machinga kwa msururu kwenye barabara zote za mitaa ya kariakoo, hivi hawajui na watembea kwa miguu nao wana haki zao?
Je, wenye maduka na walipa kodi wao watapaki magari au toroli za kuleta mizigo madukani wapi wakati meza zimepangwa pembezoni mwa maduka yao?
Siku pakitokea tatizo fire watapitisha wapi usafiri wao kwa kuokoa maisha na mali za waathirika?
Any way siasa acha ichukue mkondo wake mpaka tukio litokee ndo watu waanze kulaumiana na kutumbuana