TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,140
- 5,336
Habari wanajamvi, kila nikikutana na hizi agenda za ukatili wa kingono hasa kwa mke na mume nashindwa kuelewa vizuri, naomba ufanunuzi wa kina wa hoja.
1:- Nimeoa/umeolewa je inawezekana vipi mumueo/mkeo akakufanyia ukatili wa kingono (normal sex) (mmefanyia chumbani)
2:- Endapo mmoja wenu hatowajibika katika Tendo la (ngono) hiyo inatafsiriwaje?
3:-Na kama kila siku mmoja wenu hataki kufanya mapenzi hii itakuwaje?.!
Side B:
18+yrs amekuja geto au mahali penye faragha ukafanya nae mapenzi japo kimazoea huwa wanawake haonyeshaga utayari wa 100% napo utakuwa umemnyanyasa
1:- Nimeoa/umeolewa je inawezekana vipi mumueo/mkeo akakufanyia ukatili wa kingono (normal sex) (mmefanyia chumbani)
2:- Endapo mmoja wenu hatowajibika katika Tendo la (ngono) hiyo inatafsiriwaje?
3:-Na kama kila siku mmoja wenu hataki kufanya mapenzi hii itakuwaje?.!
Side B:
18+yrs amekuja geto au mahali penye faragha ukafanya nae mapenzi japo kimazoea huwa wanawake haonyeshaga utayari wa 100% napo utakuwa umemnyanyasa