Kuhusu ualimu Grade A kusomea diploma naomba kufahamu

plock

JF-Expert Member
May 20, 2016
425
425
Mwalimu mwenye sifa ya ualimu wa shule ya msingi yaani Grade A anaweza kuendelea na diploma ya ualimu na ni chuo gani kina uwezo wa kutoa diploma kwa mwalimu aliye kazini anayetaka kujiendeleza hiyo huduma ilikuwepo mwanzoni ikiwa inaitwa diploma in education for special program lakini kwasasa siisikii je kuna mwenye uelewa kama bado inaendelea kutolewa au imesitishwa
 
Mwalimu mwenye sifa ya ualimu wa shule ya msingi yaani Grade A anaweza kuendelea na diploma ya ualimu na ni chuo gani kina uwezo wa kutoa diploma kwa mwalimu aliye kazini anayetaka kujiendeleza hiyo huduma ilikuwepo mwanzoni ikiwa inaitwa diploma in education for special program lakini kwasasa siisikii je kuna mwenye uelewa kama bado inaendelea kutolewa au imesitishwa
Mkuu diploma hizo zipo lakini siyo diploma za kukusaidia wewe kufundisha mana yake utasoma diploma lakini itakuwa manangement ambazo ziko chini ya nacte na adem ndio wanafundisha hayo mambo ukitaka diploma za ualimu wa secondary basi unaenda kusoma form six ndio utaweza kusomea hizo diploma au ukasome stashahada maaulumu ya sayansi miaka mitatu kama ulifaulu vzr o level masomo ya sayansi kwa c
 
Mkuu diploma hizo zipo lakini siyo diploma za kukusaidia wewe kufundisha mana yake utasoma diploma lakini itakuwa manangement ambazo ziko chini ya nacte na adem ndio wanafundisha hayo mambo ukitaka diploma za ualimu wa secondary basi unaenda kusoma form six ndio utaweza kusomea hizo diploma au ukasome stashahada maaulumu ya sayansi miaka mitatu kama ulifaulu vzr o level masomo ya sayansi kwa c
Mkuu naomba ushauri wako zaidi nikisoma hii diploma ni ngumu kuja kuendelea na degree hapo mbeleni .
 
Back
Top Bottom