maheda0756
Senior Member
- Oct 27, 2016
- 107
- 154
Habari za Weekend wanajamvi?
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu Hawa jirani zetu wa Africa Mashariki hasa Kenya.
Tanzania yetu ilipatikana baada ya muungano wa nchi mbili Kati ya Zanzibar na Tanganyika,
Lkn siku zote sikuwahi kujua asili ya neno Kenya na Uganda na ilikuaje yakatumika majina hayo kwa inchi zao,
Pia nimekuwa nikijuliuliza km Jina la Taifa la Kenya linahusiana kwa lolote na rais wao wa awamu ya kwanza Mzee Jomo Kenyata,
Wajuzi ebu nijuzeni habari zozote unazozijua kuhusu hawa jirani zetu.
Nimewaza tu.
Karibuni.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu Hawa jirani zetu wa Africa Mashariki hasa Kenya.
Tanzania yetu ilipatikana baada ya muungano wa nchi mbili Kati ya Zanzibar na Tanganyika,
Lkn siku zote sikuwahi kujua asili ya neno Kenya na Uganda na ilikuaje yakatumika majina hayo kwa inchi zao,
Pia nimekuwa nikijuliuliza km Jina la Taifa la Kenya linahusiana kwa lolote na rais wao wa awamu ya kwanza Mzee Jomo Kenyata,
Wajuzi ebu nijuzeni habari zozote unazozijua kuhusu hawa jirani zetu.
Nimewaza tu.
Karibuni.