Toka apite na kuwa mbunge wa Maswa Mashariki Shibuda alionekana wazi kutaka mgogoro na viongozi wa CHADEMA, kwa busara na hekima walizonazo viongozi wachadema hawakujiingiza katika mtego huu dhaifu wa SHIBUDA.
Kauli alizokuwa akitoa dhidi ya CHADEMA, viongozi wa CHADEMA walichukulia kama ni kauli toka kwa mwendawazimu ambazo hazipaswi kujibiwa na sasa SHIBUDA amenasa katika mtego dhaifu aliojitegea mwenyewe, Na sasa kila mtu mwenye akili timamu anajua kuwa SHIBUDA si mwana CHADEMA.
Hivyo halali yake kufukuzwa, watanzani nao wanachukulia maneno ya shibuda kama hoja za mwendawazimu ambazo si busara na hekima kuzijadili.
viongozi wa CHADEMA wanastahili pongezi kwa jinsi walivyokabiliana naye mpaka ananasa kirahisi katika mtego wake, japo kuwa MPENDAZOE alishatahadharisha hili hata kabla ya uchaguzi wa mwaka 2010 akapuuzwa.
Kauli alizokuwa akitoa dhidi ya CHADEMA, viongozi wa CHADEMA walichukulia kama ni kauli toka kwa mwendawazimu ambazo hazipaswi kujibiwa na sasa SHIBUDA amenasa katika mtego dhaifu aliojitegea mwenyewe, Na sasa kila mtu mwenye akili timamu anajua kuwa SHIBUDA si mwana CHADEMA.
Hivyo halali yake kufukuzwa, watanzani nao wanachukulia maneno ya shibuda kama hoja za mwendawazimu ambazo si busara na hekima kuzijadili.
viongozi wa CHADEMA wanastahili pongezi kwa jinsi walivyokabiliana naye mpaka ananasa kirahisi katika mtego wake, japo kuwa MPENDAZOE alishatahadharisha hili hata kabla ya uchaguzi wa mwaka 2010 akapuuzwa.