Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wana jf nimeshangaa kusikia kwamba katika sakata la Escrow A/c ktk orodha ya mgawo was fedha wamo baadhi ya viongozi was dini mimi najiuliza hawa wamehusikaje?au a/c zao zilitumika kama daraja LA kuvushia kwenda kwa vigogo Fulani!
Kinacho kushangaza ninini? haukuona baadhi ya viongozi wa dini walivyo tumika vibaya kwenye BMY ...Baadhi ya viongozi wa dini wapo hapo kwa kupiga dili,na si kiimani kama unavyo dhani
Ndugu wana jf nimeshangaa kusikia kwamba katika sakata la Escrow A/c ktk orodha ya mgawo was fedha wamo baadhi ya viongozi was dini mimi najiuliza hawa wamehusikaje?au a/c zao zilitumika kama daraja LA kuvushia kwenda kwa vigogo Fulani!
Ndugu wana jf nimeshangaa kusikia kwamba katika sakata la Escrow A/c ktk orodha ya mgawo was fedha wamo baadhi ya viongozi was dini mimi najiuliza hawa wamehusikaje?au a/c zao zilitumika kama daraja LA kuvushia kwenda kwa vigogo Fulani!
Wameponzwa na hulka yetu ya kuomba omba....
Rugemalila ni muumini wao,rugemalila kuwa na urafiki na viongozi wa dini yeye siyo wa kwanza,pia muumini kumpa pesa kiongozi wake kiasi chochote cha pesa si kosa na yeye si mtu wa kwanza kufanya hvy!! Pia rugemalila alilipwa bil miatatu ikatangazwa,watu wote wakasikia haikuwa siri, na kipindi kile malipo yale yalikuwa ni halali nao hawakujua kama ni ufisadi, sasa mtu kutoa kiasi alicholipwa na kumpa kiongozi wake wa kiroho kuna ubaya gani?kiongozi wa dini atawezaje kujua kama anachopewa ni halali au siyo halali? Mbona sadaka na mavuno hatuulizagwi kama mbuzi unayemtoa sadaka umempata kwa uhalali?
Rugemalila ni muumini wao,rugemalila kuwa na urafiki na viongozi wa dini yeye siyo wa kwanza,pia muumini kumpa pesa kiongozi wake kiasi chochote cha pesa si kosa na yeye si mtu wa kwanza kufanya hvy!! Pia rugemalila alilipwa bil miatatu ikatangazwa,watu wote wakasikia haikuwa siri, na kipindi kile malipo yale yalikuwa ni halali nao hawakujua kama ni ufisadi, sasa mtu kutoa kiasi alicholipwa na kumpa kiongozi wake wa kiroho kuna ubaya gani?kiongozi wa dini atawezaje kujua kama anachopewa ni halali au siyo halali? Mbona sadaka na mavuno hatuulizagwi kama mbuzi unayemtoa sadaka umempata kwa uhalali?
umeongea pointi mkuu.humu kuna watu wana akili zinatia shaka.siku zote viongozi wa dini wanaishi kwa hisani za waumini.hawangeweza kujua huyo ruge fedha zake ni halali au haramu.isitoshe hata ruge fedha yake ni halali,swala kwamba aliyemlipa katumia hela gani haimhusu yeye.watz wananikera kwa kushadadia vitu ovyoovyo.rugemalila ni muumini wao,rugemalila kuwa na urafiki na viongozi wa dini yeye siyo wa kwanza,pia muumini kumpa pesa kiongozi wake kiasi chochote cha pesa si kosa na yeye si mtu wa kwanza kufanya hvy!! Pia rugemalila alilipwa bil miatatu ikatangazwa,watu wote wakasikia haikuwa siri, na kipindi kile malipo yale yalikuwa ni halali nao hawakujua kama ni ufisadi, sasa mtu kutoa kiasi alicholipwa na kumpa kiongozi wake wa kiroho kuna ubaya gani?kiongozi wa dini atawezaje kujua kama anachopewa ni halali au siyo halali? Mbona sadaka na mavuno hatuulizagwi kama mbuzi unayemtoa sadaka umempata kwa uhalali?
kwa hiyo alipewa kama sadaka...mbonabunataka kutufanya jf wapumbavu nabutetezi wako wa @%#&# hatutaki blah blah mimi ni mkatoliki lakini nasema kanisa watueleze na watu wawajibishwe siyo kuleta utetezi wa @%#&@* hapa...