Kuhusu ruzuku: Katiba ya CHADEMA inasema inatakiwa iliwe na makao makuu tu sio wilayani?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Viongozi wa CHADEMA mikoani na wilayani wamekuwa wakishirikishwa sana tu kwenye operation za maandamano ,vurugu nk hapo ushirikishwaji unakuwa mkubwa mno na hadi vitisho viongozi wa CHADEMA mikoani,wilayani na matawini wamekuwa wakipewa kutishiwa hata kufukuzwa uongozi kama hawatashiriki.

Swali ni je Katiba ya CHADEMA inasema kuwa ruzuku ni ya kuliwa na makao makuu tu wilayani na mikoani haitakiwi kwenda?

Kwa nini kushirikishana kunakuwa kukubwa kwenye maandamano na operation kama UKUTA na kadhalika watu wanapita kila eneo kugawa majukumu lakini ikifika kwenye Ruzuku mwala wenyewe makao makuu na ushirikishwaji hapo unakuwa haupo wala huoni pilika za viongozi wa CHADEMA makao makuu kupita mitaani,wilayani na mikoani kugawa ruzuku? Vipi?
 
Ukitaka ugomvi na Mbowe ulizia Ruzuku na Michango hahaha
Saccos ya Kaskazini
 
Hawawezi kuongelea chochote kuhusu ruzuku. Hilo ni kosa sawa na kwenda mahakamani kwa masuala ya chama.
 
katiba ya CHADEMA haisemi ruzuku ya chama itumike makao makuu tu. katiba ya CCM haisemi mwenyekiti wa taifa amkabidhi Rais uenyekiti wa chama.
 
Viongozi wa CHADEMA mikoani na wilayani wamekuwa wakishirikishwa sana tu kwenye operation za maandamano ,vurugu nk hapo ushirikishwaji unakuwa mkubwa mno na hadi vitisho viongozi wa CHADEMA mikoani,wilayani na matawini wamekuwa wakipewa kutishiwa hata kufukuzwa uongozi kama hawatashiriki.

Swali ni je Katiba ya CHADEMA inasema kuwa ruzuku ni ya kuliwa na makao makuu tu wilayani na mikoani haitakiwi kwenda?

Kwa nini kushirikishana kunakuwa kukubwa kwenye maandamano na operation kama UKUTA na kadhalika watu wanapita kila eneo kugawa majukumu lakini ikifika kwenye Ruzuku mwala wenyewe makao makuu na ushirikishwaji hapo unakuwa haupo wala huoni pilika za viongozi wa CHADEMA makao makuu kupita mitaani,wilayani na mikoani kugawa ruzuku? Vipi?

Juzi walipojifungia watu wasio zidi 6 siku nne wakaja na NENO UKUTA, KILA MMOJA AMETOKA NA SHIlingi milioni 6 kila mmoja halafu eti ndo tulifuate
 
Juzi walipojifungia watu wasio zidi 6 siku nne wakaja na NENO UKUTA, KILA MMOJA AMETOKA NA SHIlingi milioni 6 kila mmoja halafu eti ndo tulifuate
Duh kama kuna ka-mtu kaongo kupindukia ni wewe
Tumaini Makene tafadhali tuonyesheni mfano kwa kukitaka haka kajamaa athibitishe shutuma zake
 
Back
Top Bottom