ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Kwenye hili la ongezeko la hela ya tozo kwenye mihamala ebu watanzania tuache kulia kulia ayo ndio maendeleo na kwani kabla azijakuwepo hii huduma tulikuwa tunatumia huduma gani ebu tuache serikali ifanye kazi ituletee maendeleo sio kila jambo kulalama tu .serikali mpk kuweka hili imeshakaa na kufanya uchunguzi sio kama imekurupuka tusipende kupinga tu uku tunataka dawa hospital.watoto wasome bure wewe mtanzania unachangia nini yangu leo ni hayo
Fahari yetu nchi yetu mungu bariki
Fahari yetu nchi yetu mungu bariki