MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Wadau, Amani iwe nanyi!
Nafahamu kabisa kuwa kazi ya ukombozi sio ndogo!
Falsafa ya Mh.F.Mbowe inasema kuwa mpaka kufikia ukombozi, kuna watakaokufa, watakaojeruhiwa na kupata vilema vya muda na kudumu, watakaosaliti kambi bila kuwasahau wale watakaojisalimisha kwa CCM.
Katika makamanda waaminifu kwa CHADEMA, mmoja wao ni Kamanda MABERE MARANDO, huyu ni mmoja wa wanachama waliojiunga na CHADEMA kwa kipindi kifupi na kuipigania ipasavyo! Marando aliwahi kutuahidi wana CHADEMA na UKAWA kuwa kipindi hiki cha uchaguzi yeye atatangaza matokeo ya ukweli ya uchaguzi kabla ya tume!
Huu ni ujasiri ulioje!
Bahati mbaya tukapata taarifa kuwa, Kamanda MABERE MARANDO ni mgonjwa! Na aliondoka nchini Tarehe 15.09.2015 kuelekea INDIA kwa ajili ya matibabu!
Makamanda tujuzane! Hali ya Marando ikoje? Je alisharudi? Au bado yuko ughaibuni akipambania maisha yake?
Mungu ampe TAHFIF inshaallah!
VIVA UKAWA, VIVA LOWASSA, VIVA TANZANIA!!!
Nafahamu kabisa kuwa kazi ya ukombozi sio ndogo!
Falsafa ya Mh.F.Mbowe inasema kuwa mpaka kufikia ukombozi, kuna watakaokufa, watakaojeruhiwa na kupata vilema vya muda na kudumu, watakaosaliti kambi bila kuwasahau wale watakaojisalimisha kwa CCM.
Katika makamanda waaminifu kwa CHADEMA, mmoja wao ni Kamanda MABERE MARANDO, huyu ni mmoja wa wanachama waliojiunga na CHADEMA kwa kipindi kifupi na kuipigania ipasavyo! Marando aliwahi kutuahidi wana CHADEMA na UKAWA kuwa kipindi hiki cha uchaguzi yeye atatangaza matokeo ya ukweli ya uchaguzi kabla ya tume!
Huu ni ujasiri ulioje!
Bahati mbaya tukapata taarifa kuwa, Kamanda MABERE MARANDO ni mgonjwa! Na aliondoka nchini Tarehe 15.09.2015 kuelekea INDIA kwa ajili ya matibabu!
Makamanda tujuzane! Hali ya Marando ikoje? Je alisharudi? Au bado yuko ughaibuni akipambania maisha yake?
Mungu ampe TAHFIF inshaallah!
VIVA UKAWA, VIVA LOWASSA, VIVA TANZANIA!!!