Kuhusu Mwenyekiti CHADEMA, tuangaliane usoni bila Tashwishi

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Ndugu zangu wanajamvi.,nimekuwa kimya sana kwa muda mrefu..ukimya wangu ulisababishwa na mambo mengi kama ambavyo baadhi mnayajua na mengine makubwa hamyajui na hayatajulikana.

Lipo jambo linaendelea nchini, jambo hili kwa kiasi chake limecatch attention ya Taifa labda hata kuzidi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nalo ni uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii ni kwasababu CHADEMA kwasasa limekuwa ni jiwe la pembeni ambalo wengi wanalitazama kama JIWE KUU la baadae. Maisha ya Watanzania hasa wanasiasa walio wengi hata wale walio katika vyama vingine vya siasa hata Chama changu CCM tunaitazama CHADEMA kama alternative ya siasa zao mambo yakienda mrama...naam baadhi wamefanya hivyo..,ingawa mimi siamini na sitakuwa miongoni mwa wenye mtazamo huo, ila nasema wapo, tena wapo wa kutosha.

Linapokuja suala la kumpata Nahodha wa kuendesha chombo hicho kilichobeba ndoto na matumaini ya wengi, hata siku moja suala hilo haliwezi kuwa jambo la kupuuzwa na ndio maana nimeamua kuvunja ukimya, nimeona niseme kama ambavyo nimekuwa nikisema hapo nyuma.

Mpaka sasa katika waliojitokeza kugombea nafasi hiyo wapo;
1:MBOWE Freeman AIkaeli
2:MWAMBE Cecil
3:SUMAYE Fredrick

Wawili kati ya watatu hao wamejiunga ndani ya Chama hicho ndani ya miaka minne iliyopita na sababu ikiwa ni dhoruba iliyowakumba wakiwa CCM, wakahamia CHADEMA sio kwa Imani ya Itikadi, sio kwa mapenzi ya Siasa zake bali kwa msukumo na ulazima wa kukosa nafasi CCM, ndiko kulikowasukuma kujiunga na CHADEMA as an alternative platform ya kuendelea kufanya siasa zao. Hawaamini katika itikadi, sera wala mfumo wa siasa za CHADEMA, hawafurahishwi na muundo wala mtindo wa siasa za uhanaharakati. Wao si waumini wa siasa za u-liberali.

Lakini, lipo jambo lazima wapiga kura wanaoenda kumchagua nahodha wa chombo hicho walifahamu kuwa yupo mtu ambae ameasisi, ameamini na ameiishi misingi ya siasa za uhanaharakati na uliberali za chama hicho, na kwa uongozi wake Chama kimepata mafanikio makubwa, hakuna ubishi leo hii kuwa uimara na ukubwa wa CHADEMA na hata umaarufu wake duniani unafungamana na utendaji uliotukuka wa Mwamba, Freeman Aikaeli Mbowe.(Lazima nieleweke, mimi sio mpiga kampeni wala sio mwanachama wa CHADEMA ila nawasaidia maarifa.) Mtu huyu amepoteza heshima, hadhi na kuharibikiwa na mambo yake mengi kwa sababu ya kuifikisha CHADEMA ilipofika, amevuja machozi, jasho na damu kuiingiza CHADEMA katika mioyo ya Watanzania, haikuwa kazi rahisi....mimi nasema hayo nikiwa nafahamu namna ambavyo tulipambana nae kama CHAMA na nakumbuka mpambano wangu binafsi dhidi yake...mnyonge mnyongeni lakini sifa zake apewe, amenisumbua, ametusumbua na anaendelea kusumbua ndio maana watu wenye akili wanataka kuondokana na usumbufu huo.

Ndugu zangu wanachadema, nendeni mkafanye maamuzi, nendeni mkachague MWENYEKITI lakini abadani msiruhusu Oil CHAFU kushika hatamu ya uongozi wenu, hamtafika salama...nawaambieni msikie. Mnapita katika njia yenye miba, mwenye akili atabaki na mitalawanda yake na sio safariboot za kuazimwa, hazitawavusha. MSIOGOPE KUUSEMA UKWELI HUU, tena tuuseme kwa kuangaliana usoni bila tashwishi.

Nawatakia kila la heri...

#TufanyeSiasaZisizoumiza
 
Asante sana Mheshiwa kwa ushauri wako tutauzingatia, hasa hapo uliposisitiza oili chafu.

Pole sana kwa misukosuko iliyokukuta hapo katikati.

Ni Makubwa gani yaliyokukuta zaidi ya yale tuliyoyaona na kuyasikia mheshimiwa.?

Vipi ukikatwa huko 2020, uko tayari kuhamia CHADEMA ili tujenge pamoja siasa za upinzani.
 
Tandale one karibu jukwaani , tunakushukuru kwa ushauri wako , ila nitakusahihisha kidogo , mpaka sasa wagombea ni wawili tu , Mbowe bado hajachukua fomu japo kuna vijana wameichukua kwa nia ya kwenda nyumbani kwake kumuomba akubali kugombea .
 
CCM changu ndio bora sana kuliko vyote Tanzania na pengine kuliko vyote chini ya Jangwa LA sahara na nasikia amani kusema haya.

CCM tuna msemo kuwa mwenye kadi no 1 na aliyekabidhiwa kadi Leo wote wana haki sawa ya kushiriki mchakato wowote ndani ya chama lakini huko CHADEMA naona ni tofauti mnataka MWAMBE na SUMAYE wasichaguliwe kisa wamejinga miaka minne iliyopita. huu ni udhaifu mkubwa sana
 
Uenyekiti wa Chadema hauombwi kama dereva wa daladala kwamba ukiwa na leseni hata kama ya kununua unapewa tuu kazi ya kuendesha.
Kuiendesha Chadema (hasa kwa kipindi hiki) dereva wake anapaswa kuwa scrutinized kama vile rubani anaye omba kuendesha AIRFORCE ONE. Sio mchezo hata kidogo, lakini kidemokrasia ni vema kusindikizana katika ugombea. Hatukatishani tamaa kwani kila mwanachama anaheshimika.
Hata mimi binafsi Chakaza pamoja na umahiri wangu katika uongozi (siutaji hapa) katika nyanja mbalimbali, Nina uhakika naweza kabisa na kwa mafanikio makubwa kuliko aliyepo kama nachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama kama CCM. Lakini nikiri kuwa Chadema kwa umakini na uvumilivu unaotakiwa SITOSHI kwa cheo chochote
 
Ndugu zangu wanajamvi.,nimekuwa kimya sana kwa muda mrefu..ukimya wangu ulisababishwa na mambo mengi kama ambavyo baadhi mnayajua na mengine makubwa hamyajui na hayatajulikana.

Lipo jambo linaendelea nchini, jambo hili kwa kiasi chake limecatch attention ya Taifa labda hata kuzidi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nalo ni uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii ni kwasababu CHADEMA kwasasa limekuwa ni jiwe la pembeni ambalo wengi wanalitazama kama JIWE KUU la baadae. Maisha ya Watanzania hasa wanasiasa walio wengi hata wale walio katika vyama vingine vya siasa hata Chama changu CCM tunaitazama CHADEMA kama alternative ya siasa zao mambo yakienda mrama...naam baadhi wamefanya hivyo..,ingawa mimi siamini na sitakuwa miongoni mwa wenye mtazamo huo, ila nasema wapo, tena wapo wa kutosha.

Linapokuja suala la kumpata Nahodha wa kuendesha chombo hicho kilichobeba ndoto na matumaini ya wengi, hata siku moja suala hilo haliwezi kuwa jambo la kupuuzwa na ndio maana nimeamua kuvunja ukimya, nimeona niseme kama ambavyo nimekuwa nikisema hapo nyuma.

Mpaka sasa katika waliojitokeza kugombea nafasi hiyo wapo;
1:MBOWE Freeman AIkaeli
2:MWAMBE Cecil
3:SUMAYE Fredrick

Wawili kati ya watatu hao wamejiunga ndani ya Chama hicho ndani ya miaka minne iliyopita na sababu ikiwa ni dhoruba iliyowakumba wakiwa CCM, wakahamia CHADEMA sio kwa Imani ya Itikadi, sio kwa mapenzi ya Siasa zake bali kwa msukumo na ulazima wa kukosa nafasi CCM, ndiko kulikowasukuma kujiunga na CHADEMA as an alternative platform ya kuendelea kufanya siasa zao. Hawaamini katika itikadi, sera wala mfumo wa siasa za CHADEMA, hawafurahishwi na muundo wala mtindo wa siasa za uhanaharakati. Wao si waumini wa siasa za u-liberali.

Lakini, lipo jambo lazima wapiga kura wanaoenda kumchagua nahodha wa chombo hicho walifahamu kuwa yupo mtu ambae ameasisi, ameamini na ameiishi misingi ya siasa za uhanaharakati na uliberali za chama hicho, na kwa uongozi wake Chama kimepata mafanikio makubwa, hakuna ubishi leo hii kuwa uimara na ukubwa wa CHADEMA na hata umaarufu wake duniani unafungamana na utendaji uliotukuka wa Mwamba, Freeman Aikaeli Mbowe.(Lazima nieleweke, mimi sio mpiga kampeni wala sio mwanachama wa CHADEMA ila nawasaidia maarifa.) Mtu huyu amepoteza heshima, hadhi na kuharibikiwa na mambo yake mengi kwa sababu ya kuifikisha CHADEMA ilipofika, amevuja machozi, jasho na damu kuiingiza CHADEMA katika mioyo ya Watanzania, haikuwa kazi rahisi....mimi nasema hayo nikiwa nafahamu namna ambavyo tulipambana nae kama CHAMA na nakumbuka mpambano wangu binafsi dhidi yake...mnyonge mnyongeni lakini sifa zake apewe, amenisumbua, ametusumbua na anaendelea kusumbua ndio maana watu wenye akili wanataka kuondokana na usumbufu huo.

Ndugu zangu wanachadema, nendeni mkafanye maamuzi, nendeni mkachague MWENYEKITI lakini abadani msiruhusu Oil CHAFU kushika hatamu ya uongozi wenu, hamtafika salama...nawaambieni msikie. Mnapita katika njia yenye miba, mwenye akili atabaki na mitalawanda yake na sio safariboot za kuazimwa, hazitawavusha. MSIOGOPE KUUSEMA UKWELI HUU, tena tuuseme kwa kuangaliana usoni bila tashwishi.

Nawatakia kila la heri...

#TufanyeSiasaZisizoumiza
The best thread 2019/2020 CHADEMA TEMBEA NA HIYO. Mkuu nna ombi kwako please naomba uniruhusu nikopi Uzi huu bila kupunguza wala kuongeza chochote nishee kwenye mitandao mingine. Niamini ntakuwa mwaminifu kwa ahadi zangu. JIBU NASUBIRI TAFADHARI
 
CCM changu ndio bora sana kuliko vyote Tanzania na pengine kuliko vyote chini ya Jangwa LA sahara na nasikia amani kusema haya.

CCM tuna msemo kuwa mwenye kadi no 1 na aliyekabidhiwa kadi Leo wote wana haki sawa ya kushiriki mchakato wowote ndani ya chama lakini huko CHADEMA naona ni tofauti mnataka MWAMBE na SUMAYE wasichaguliwe kisa wamejinga miaka minne iliyopita. huu ni udhaifu mkubwa sana
Kikwete alipotangaza Magufuli kushinda kwa 100% alishindanishwa na nani ?
 
Ndugu zangu wanajamvi.,nimekuwa kimya sana kwa muda mrefu..ukimya wangu ulisababishwa na mambo mengi kama ambavyo baadhi mnayajua na mengine makubwa hamyajui na hayatajulikana.

Lipo jambo linaendelea nchini, jambo hili kwa kiasi chake limecatch attention ya Taifa labda hata kuzidi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nalo ni uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii ni kwasababu CHADEMA kwasasa limekuwa ni jiwe la pembeni ambalo wengi wanalitazama kama JIWE KUU la baadae. Maisha ya Watanzania hasa wanasiasa walio wengi hata wale walio katika vyama vingine vya siasa hata Chama changu CCM tunaitazama CHADEMA kama alternative ya siasa zao mambo yakienda mrama...naam baadhi wamefanya hivyo..,ingawa mimi siamini na sitakuwa miongoni mwa wenye mtazamo huo, ila nasema wapo, tena wapo wa kutosha.

Linapokuja suala la kumpata Nahodha wa kuendesha chombo hicho kilichobeba ndoto na matumaini ya wengi, hata siku moja suala hilo haliwezi kuwa jambo la kupuuzwa na ndio maana nimeamua kuvunja ukimya, nimeona niseme kama ambavyo nimekuwa nikisema hapo nyuma.

Mpaka sasa katika waliojitokeza kugombea nafasi hiyo wapo;
1:MBOWE Freeman AIkaeli
2:MWAMBE Cecil
3:SUMAYE Fredrick

Wawili kati ya watatu hao wamejiunga ndani ya Chama hicho ndani ya miaka minne iliyopita na sababu ikiwa ni dhoruba iliyowakumba wakiwa CCM, wakahamia CHADEMA sio kwa Imani ya Itikadi, sio kwa mapenzi ya Siasa zake bali kwa msukumo na ulazima wa kukosa nafasi CCM, ndiko kulikowasukuma kujiunga na CHADEMA as an alternative platform ya kuendelea kufanya siasa zao. Hawaamini katika itikadi, sera wala mfumo wa siasa za CHADEMA, hawafurahishwi na muundo wala mtindo wa siasa za uhanaharakati. Wao si waumini wa siasa za u-liberali.

Lakini, lipo jambo lazima wapiga kura wanaoenda kumchagua nahodha wa chombo hicho walifahamu kuwa yupo mtu ambae ameasisi, ameamini na ameiishi misingi ya siasa za uhanaharakati na uliberali za chama hicho, na kwa uongozi wake Chama kimepata mafanikio makubwa, hakuna ubishi leo hii kuwa uimara na ukubwa wa CHADEMA na hata umaarufu wake duniani unafungamana na utendaji uliotukuka wa Mwamba, Freeman Aikaeli Mbowe.(Lazima nieleweke, mimi sio mpiga kampeni wala sio mwanachama wa CHADEMA ila nawasaidia maarifa.) Mtu huyu amepoteza heshima, hadhi na kuharibikiwa na mambo yake mengi kwa sababu ya kuifikisha CHADEMA ilipofika, amevuja machozi, jasho na damu kuiingiza CHADEMA katika mioyo ya Watanzania, haikuwa kazi rahisi....mimi nasema hayo nikiwa nafahamu namna ambavyo tulipambana nae kama CHAMA na nakumbuka mpambano wangu binafsi dhidi yake...mnyonge mnyongeni lakini sifa zake apewe, amenisumbua, ametusumbua na anaendelea kusumbua ndio maana watu wenye akili wanataka kuondokana na usumbufu huo.

Ndugu zangu wanachadema, nendeni mkafanye maamuzi, nendeni mkachague MWENYEKITI lakini abadani msiruhusu Oil CHAFU kushika hatamu ya uongozi wenu, hamtafika salama...nawaambieni msikie. Mnapita katika njia yenye miba, mwenye akili atabaki na mitalawanda yake na sio safariboot za kuazimwa, hazitawavusha. MSIOGOPE KUUSEMA UKWELI HUU, tena tuuseme kwa kuangaliana usoni bila tashwishi.

Nawatakia kila la heri...

#TufanyeSiasaZisizoumiza
Unachowaambia wana Chadema wakifanye leo ndicho Watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii tunachofikiria kukifanya 2020.
 
Lumumba bana mshapora uchaguzi wa mitaa 100% sasa pumzikeni - au mnataka mpore na huu ? maana mshipa wa aibu kwenu ushakatika kitambo.
 
Asante sana Mheshiwa kwa ushauri wako tutauzingatia, hasa hapo uliposisitiza oili chafu.

Pole sana kwa misukosuko iliyokukuta hapo katikati.

Ni Makubwa gani yaliyokukuta zaidi ya yale tuliyoyaona na kuyasikia mheshimiwa.?

Vipi ukikatwa huko 2020, uko tayari kuhamia CHADEMA ili tujenge pamoja siasa za upinzani.
Sitarajii kukatwa na sitarajii kuhama, kimsingi yajayo yanafurahisha.
 
Kama sheria ya jf ingeruhusu ningekutajia huyu chakaza ni nani hasa , nina hakika ungemuamkia na haraka sana ungejitoa jf kuficha aibu
Haha ha! Nimecheka sana @Erthrocyte tusonge mbele, la muhimu ajue tuu kuwa kuendesha Chadema sio kama kuendesha Abood Bus, Chadema ni sawa na kuendesha AIRFORCE ONE.
Kila mtu jicho liko hapo, na kwa taarifa yao hata Mzee mwenyewe katika vitu anavyopokea taarifa kila asubuhi mojawapo ni "Chadema wameamkaje huko?"
 
Ndugu zangu wanajamvi.,nimekuwa kimya sana kwa muda mrefu..ukimya wangu ulisababishwa na mambo mengi kama ambavyo baadhi mnayajua na mengine makubwa hamyajui na hayatajulikana.

Lipo jambo linaendelea nchini, jambo hili kwa kiasi chake limecatch attention ya Taifa labda hata kuzidi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nalo ni uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii ni kwasababu CHADEMA kwasasa limekuwa ni jiwe la pembeni ambalo wengi wanalitazama kama JIWE KUU la baadae. Maisha ya Watanzania hasa wanasiasa walio wengi hata wale walio katika vyama vingine vya siasa hata Chama changu CCM tunaitazama CHADEMA kama alternative ya siasa zao mambo yakienda mrama...naam baadhi wamefanya hivyo..,ingawa mimi siamini na sitakuwa miongoni mwa wenye mtazamo huo, ila nasema wapo, tena wapo wa kutosha.

Linapokuja suala la kumpata Nahodha wa kuendesha chombo hicho kilichobeba ndoto na matumaini ya wengi, hata siku moja suala hilo haliwezi kuwa jambo la kupuuzwa na ndio maana nimeamua kuvunja ukimya, nimeona niseme kama ambavyo nimekuwa nikisema hapo nyuma.

Mpaka sasa katika waliojitokeza kugombea nafasi hiyo wapo;
1:MBOWE Freeman AIkaeli
2:MWAMBE Cecil
3:SUMAYE Fredrick

Wawili kati ya watatu hao wamejiunga ndani ya Chama hicho ndani ya miaka minne iliyopita na sababu ikiwa ni dhoruba iliyowakumba wakiwa CCM, wakahamia CHADEMA sio kwa Imani ya Itikadi, sio kwa mapenzi ya Siasa zake bali kwa msukumo na ulazima wa kukosa nafasi CCM, ndiko kulikowasukuma kujiunga na CHADEMA as an alternative platform ya kuendelea kufanya siasa zao. Hawaamini katika itikadi, sera wala mfumo wa siasa za CHADEMA, hawafurahishwi na muundo wala mtindo wa siasa za uhanaharakati. Wao si waumini wa siasa za u-liberali.

Lakini, lipo jambo lazima wapiga kura wanaoenda kumchagua nahodha wa chombo hicho walifahamu kuwa yupo mtu ambae ameasisi, ameamini na ameiishi misingi ya siasa za uhanaharakati na uliberali za chama hicho, na kwa uongozi wake Chama kimepata mafanikio makubwa, hakuna ubishi leo hii kuwa uimara na ukubwa wa CHADEMA na hata umaarufu wake duniani unafungamana na utendaji uliotukuka wa Mwamba, Freeman Aikaeli Mbowe.(Lazima nieleweke, mimi sio mpiga kampeni wala sio mwanachama wa CHADEMA ila nawasaidia maarifa.) Mtu huyu amepoteza heshima, hadhi na kuharibikiwa na mambo yake mengi kwa sababu ya kuifikisha CHADEMA ilipofika, amevuja machozi, jasho na damu kuiingiza CHADEMA katika mioyo ya Watanzania, haikuwa kazi rahisi....mimi nasema hayo nikiwa nafahamu namna ambavyo tulipambana nae kama CHAMA na nakumbuka mpambano wangu binafsi dhidi yake...mnyonge mnyongeni lakini sifa zake apewe, amenisumbua, ametusumbua na anaendelea kusumbua ndio maana watu wenye akili wanataka kuondokana na usumbufu huo.

Ndugu zangu wanachadema, nendeni mkafanye maamuzi, nendeni mkachague MWENYEKITI lakini abadani msiruhusu Oil CHAFU kushika hatamu ya uongozi wenu, hamtafika salama...nawaambieni msikie. Mnapita katika njia yenye miba, mwenye akili atabaki na mitalawanda yake na sio safariboot za kuazimwa, hazitawavusha. MSIOGOPE KUUSEMA UKWELI HUU, tena tuuseme kwa kuangaliana usoni bila tashwishi.

Nawatakia kila la heri...

#TufanyeSiasaZisizoumiza

Ahsante sana Mkuu Nape Kwa ushauri wako.
Nilifurahi sana ulivyomng'ong'a yule Mbaba na kudhani eti umeomba Msamaha kutoka Moyoni....
Yule Baba eti anatembea kifua mbele na ku wish kukupa binti yake.
Hahahahah
 
Back
Top Bottom