Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 276
Habar wanahistoria!
Wanahistoria, Nauliza Je kunaukweli kuhusu hili la mtu ukitaka kuingia mji wa mwadui huko shinyanga ni lazima uwe na kibali tena unaomba kabla ya ya siku kazaa ili uruhusiwe kuingia!
Naomba kujua hili kwasababu kuna mtu ameniambia, nikapatwa na shauku ya kujua jambo hili! Mwnye naomben kujua
Wanahistoria, Nauliza Je kunaukweli kuhusu hili la mtu ukitaka kuingia mji wa mwadui huko shinyanga ni lazima uwe na kibali tena unaomba kabla ya ya siku kazaa ili uruhusiwe kuingia!
Naomba kujua hili kwasababu kuna mtu ameniambia, nikapatwa na shauku ya kujua jambo hili! Mwnye naomben kujua