Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
Eti Zanzibar ina rais wake.Rais gani asyetambuliwa popote duniani? labda kidogo Oman na UAE ndio huwa wanampa hadhi huyo rais wa Zanzibar.Huyo Shein ameshashiba ndio maana anatetea huu utumbo .Hadhi ya Zanzibar itarudi tu iwapo Tanganyika itarudisha utanganyika wake maana iaonekana Tanganyika ndio Tanzania na Zanzibar sio Tanzania.Hata uanachama wa FIFA zanzibar imekataliwa inatambuliwa Tanzania tu TFF lakini wazanzibar hawaruhusiwi kugombea TFF wanaambiwa yenu ni ZFF ,wakati FIFA inasema waende kama TFF ya Tanzania maana zanzibar sio nchi
Watanganyika na sisi tunataka Rais wa serikali yetu na muondo wenye hazi sawa na huu SMZ hivyo tu. Khalafu huyu Rais wa JMT aendelee na majukumu yake ya JMT.