dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Kuna habari kwamba kuna miradi mbali mbali inayoendelea wilayani Chato kwa yule anaefaham anisaidie yafuatayo:
1 Aina ya Mradi
2 Gharama zilizotumika/zinazotumika
3 Utaratibu ulotumika utowaji wa tenda
4 Kikao cha bunge kilichopitisha miradi hiyo/utaratibu uliotumika kuichagua
5 Vipi miradi hiyo itakavyotusaidia kujikwamua kiuchumi
Ni hayo tuu.
1 Aina ya Mradi
2 Gharama zilizotumika/zinazotumika
3 Utaratibu ulotumika utowaji wa tenda
4 Kikao cha bunge kilichopitisha miradi hiyo/utaratibu uliotumika kuichagua
5 Vipi miradi hiyo itakavyotusaidia kujikwamua kiuchumi
Ni hayo tuu.