Magufuli yupo ofisini anachapa kazi... eti tuma PM!Hebu angalieni video hii halafu toeni maoni yenu .
Tukisema mambo kama haya bado tutaitwa wachochezi ? viongozi wataendelea kuwaona wananchi wajinga hadi lini ?
View attachment 2015307
Magufuli yupo ofisini anachapa kazi... eti tuma PM!Hebu angalieni video hii halafu toeni maoni yenu .
Tukisema mambo kama haya bado tutaitwa wachochezi ? viongozi wataendelea kuwaona wananchi wajinga hadi lini ?
View attachment 2015307
Watanzania siyo Wajinga sana - MagufuliWajinga ndiyo waliwao...
Serikali ya ViwandaHebu angalieni video hii halafu toeni maoni yenu .
Tukisema mambo kama haya bado tutaitwa wachochezi ? viongozi wataendelea kuwaona wananchi wajinga hadi lini ?
View attachment 2015307
Usinitafutie balaa , mkuu! Ha ha haaaHuwa kuna wakati natamani jeshi lichukue nchi.
Naona kama sasa hivi tunapigwa kila kona, au maisha yetu wao hayawahusu?!Najua ni jeshi letu wananchi. Nadhani kazi tuliyowapa ni nzito mno tusiwabebeshe mzigo mwingine.
Hebu angalieni video hii halafu toeni maoni yenu .
Tukisema mambo kama haya bado tutaitwa wachochezi ? viongozi wataendelea kuwaona wananchi wajinga hadi lini ?
View attachment 2015307
Sisi tunapinga ccm , hatupingi mtu binafsiIla nimegundua nyinyi kina Erythrocyte, BAK, Mshana, Salary slip ni wanafiki na wapuuzi sana sana
Enzi ya utawala wa Magufuli mliponda kila kitu, kila kitu kilichofanywa na utawala ule ikiwemo alivyomuondoa mkurugenzi mkuu wa tanesco na bodi yote, na bado mkaponda alipoteua bodi mpya.
Na matokeo chanya ya mabadiliko hayo tuliyaona, ila MKAPONDA
Na kiukweli Jpm alijitahidi sana kutatua hizi shida za mgao wa umeme au maji ilianza kubaki historia. Na alifanikiwa pakubwa sana
Sasa leo unakuja kuanzisha nyuzi kujifanya unalialia na kulaumu kinafiki kuhusu umeme, unatamani ulinganishe awamu hii ya sita na iliyopita lakn nafsi inakusuta
Wapuuzi kabisa nyinyi
Sisi tunapinga ccm , hatupingi mtu binafsi