Mzinza wa town
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 347
- 368
Kwaza nianze kwa kutoa pole kwa wale waliofiwa ndugu zao na kushindwa kuzika kwa wakati kutokana na miili ya ndugu zao kuzuiliwa. Poleni sana.
Pili, nataka kuwalaumu wanasiasa kwa unafiki mkubwa katika hili swala. Hivi hao wanasiasa wakifa huko India huwa hawalipi gharama za matibabu?
Mwisho napendekeza yafuatayo ili kumaliza huu mgogoro
1. Hospitali zisitoe huduma kama mtu hajalipia matibabu kwani mara nyingi ndugu huziomba hospitali ndugu yao atibiwe wakipata hela watalipa, sasa amepona amekufa nani alipe gharama?
2. Serikali igharimie matibabu ya watu wote. Yaani mtu ukiumwa wewe nenda hospitali hutalipa chochote kama ilivyo elimu bure.
3. Wanasiasa acheni unafiki
Pili, nataka kuwalaumu wanasiasa kwa unafiki mkubwa katika hili swala. Hivi hao wanasiasa wakifa huko India huwa hawalipi gharama za matibabu?
Mwisho napendekeza yafuatayo ili kumaliza huu mgogoro
1. Hospitali zisitoe huduma kama mtu hajalipia matibabu kwani mara nyingi ndugu huziomba hospitali ndugu yao atibiwe wakipata hela watalipa, sasa amepona amekufa nani alipe gharama?
2. Serikali igharimie matibabu ya watu wote. Yaani mtu ukiumwa wewe nenda hospitali hutalipa chochote kama ilivyo elimu bure.
3. Wanasiasa acheni unafiki