Milton Mponda
Member
- Apr 5, 2011
- 7
- 0
Habari wanajamii
mi nataka nifahamu kitu kinachosababisha malaria kuwa sugu na tiba yake ni nini.Vilevile kama kuna mtu
anafahamu madawa ya mitishamba ambayo yanatibu kweli malaria sugu na si usanii wa mjini hapa.Malaria yangu imekuwa haiishi ninapotumia dawa sasa sijui ndo usugu wenyewe au nini hasa.
please help me!
mi nataka nifahamu kitu kinachosababisha malaria kuwa sugu na tiba yake ni nini.Vilevile kama kuna mtu
anafahamu madawa ya mitishamba ambayo yanatibu kweli malaria sugu na si usanii wa mjini hapa.Malaria yangu imekuwa haiishi ninapotumia dawa sasa sijui ndo usugu wenyewe au nini hasa.
please help me!