EDWARD MKANJABI
New Member
- Jan 31, 2011
- 1
- 0
Nimefurahi kuona kwamba member wengi wa jf ni waelewa, ila wapo baadhi ambao wanajisahau kwamba jf si mahala pa kutukanana bali kujengana kwa hoja,tujadili vitu ambavyo hata ukikuta kundi la watu linajadili basi uwe na uelewa wa kutosha.
Binafsi,kuandamana hakukatazwi ila hoja ya msingi ya kuandamana ni nini?Hawa watu walishajiita watanzania waishio marekani pengine wengi wao hawana mpango wa kurudi kuishi Tanzania. Hawana uchungu wowote na Tanzania yetu,sidhani kama walishajaribu kuleta mchango wao kwa serikali yetu.Ikumbukwe kwamba watanzania Hawahawa ndo walimkaribisha kikwete kwa shangwe,ndelemo na vifijo alipotembelea marekani kwa mara ya kwanza pindi alipochanguliwa kuwa rais wa Tanzania.
Tusiwaige hawa, bali sisi kama taifa tunatakiwa kuwa na msimamo wetu thabiti na kuendelea kujitafutia riziki za siku hadi siku.
Binafsi,kuandamana hakukatazwi ila hoja ya msingi ya kuandamana ni nini?Hawa watu walishajiita watanzania waishio marekani pengine wengi wao hawana mpango wa kurudi kuishi Tanzania. Hawana uchungu wowote na Tanzania yetu,sidhani kama walishajaribu kuleta mchango wao kwa serikali yetu.Ikumbukwe kwamba watanzania Hawahawa ndo walimkaribisha kikwete kwa shangwe,ndelemo na vifijo alipotembelea marekani kwa mara ya kwanza pindi alipochanguliwa kuwa rais wa Tanzania.
Tusiwaige hawa, bali sisi kama taifa tunatakiwa kuwa na msimamo wetu thabiti na kuendelea kujitafutia riziki za siku hadi siku.