Siku za karibuni pamekuwa na matamasha, mikutano na maandamano ya kumpongeza mtu mmoja mzalendo kuliko wote Tanzania.
Je, viongozi wote waliopita yeye ndo kafanya jambo la muhimu kufanya kila siku watu wasifanye kazi na kubaki kumpongeza.
Je, kwa pongezi hizo hapata tokea ushauri wa kumuongezea muda wa kuongoza?
Tulisema hapa kazi tu. Je kazi ni kupongeza.
Huku kupongeza ni kudanganyana kama anajiamini aseme wanaompinga pia wajionyeshe wazi nahakika angehamaki
Je, viongozi wote waliopita yeye ndo kafanya jambo la muhimu kufanya kila siku watu wasifanye kazi na kubaki kumpongeza.
Je, kwa pongezi hizo hapata tokea ushauri wa kumuongezea muda wa kuongoza?
Tulisema hapa kazi tu. Je kazi ni kupongeza.
Huku kupongeza ni kudanganyana kama anajiamini aseme wanaompinga pia wajionyeshe wazi nahakika angehamaki