Kuhusu leseni za TCRA, je zina apply hata kwa Youtubers ambao sio waandishi wa habari?

Habari gani wadau?

Katika harakati za kujaribu kuangalia namna nyingine ya kujiajiri baada ya kuomba kazi kwa miaka 5 na kukosa.

Nikaamua nifikirie kuanzisha chaneli ya youtube ninatakyokuwa nafundisha DIYs

KUHUSU leseni za TCRA je zina apply hata kwa youtubers ambao sio waandishi wa habari au vyombo vya habari wenye viewers wachache au Leseni ni kwa akaunti yoyote ile ya youtube hata kama sio broadcasting?

Msaada wenu tafadhali
Natanguliza shukrani.
Regulation 4 ya Electronic and Postal Communications (Online Content) 2020 inasema: A person shall not provide online content services without obtaining a licence from the Authority.

Sasa man we jichanganye tu uingie kwenye 18 za hawa jamaa hawana msalie mtume siku hizi!
 
Pia kuna ufafanuzi kama content yako ni chini ya 85% leseni sio lazima.
tcra%20predominant.jpg
 
Habari gani wadau?

Katika harakati za kujaribu kuangalia namna nyingine ya kujiajiri baada ya kuomba kazi kwa miaka 5 na kukosa.

Nikaamua nifikirie kuanzisha chaneli ya youtube ninatakyokuwa nafundisha DIYs

KUHUSU leseni za TCRA je zina apply hata kwa youtubers ambao sio waandishi wa habari au vyombo vya habari wenye viewers wachache au Leseni ni kwa akaunti yoyote ile ya youtube hata kama sio broadcasting?

Msaada wenu tafadhali
Natanguliza shukrani.

Akili fupi
TCRA
Channeli za mitandao utaliwa na serekali maana wamekalia ndio mapato.

Wewe weka kama jina tu mfano kuna wachambuzi wa teknolojia,vyakula na utalii hawa usafiri mpaka inafika tanzania tunawapokea kuwasifu uku tukimleta waziri kumpokea wakati yeye hata ajui tanzania inalazimisha watu washindwe.
 
Kuna mhusika nimejaribu kumuuliza anasema youtube channel yeyote ina sifa za kusajiliwa kwa mujibu wa sheria. Hata ukaanzisha na kuweka wimbo wako, hiyo ni tv ambayo watu wanatazama, hivyo inatakiwa uwe na leseni.
Ila sheria nyingine ngumu sana jamani!
 
Kuna mhusika nimejaribu kumuuliza anasema youtube channel yeyote ina sifa za kusajiliwa kwa mujibu wa sheria. Hata ukaanzisha na kuweka wimbo wako, hiyo ni tv ambayo watu wanatazama, hivyo inatakiwa uwe na leseni.
Ila sheria nyingine ngumu sana jamani!
Sheria yenyewe inanyikanyaga haipo clear, wanasema kwamba mtu anayetakiwa kuwa na leseni ni anayetoa maudhui kuanzia 85% kwa kipimo cha wiki.

Mara mtu hatotoa maudhui bila leseni yaani ni full kuchanganyana tu.

Wakati nchi za wenzetu wanatumia youtube free hawalipi hata buku.
 
Sheria yenyewe inanyikanyaga haipo clear, wanasema kwamba mtu anayetakiwa kuwa na leseni ni anayetoa maudhui kuanzia 85% kwa kipimo cha wiki.

Mara mtu hatotoa maudhui bila leseni yaani ni full kuchanganyana tu.

Wakati nchi za wenzetu wanatumia youtube free hawalipi hata buku.
Si unajua bongo tena kila kitu wanataka wakinyonye wapate hela na wamefanya hvi ili kuwa na nguvu ya ku censor hzo channel kma zitaongea vitu visivyoendana na matakwa yao.

Tunapigwa gap sana na Kenya kwasababu huku serikali yetu inabania sana utandawazi kuliko Kenya. Kenya sshv kuna watu wengi sana wanapiga kazi za freelancing na kuingiza kipato ukilinganisha na huku kwetu. Vijana wanajipatia ajira zao kupitia mitandaoni ila huku kwetu sasa duuh lazima uteseke sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria yenyewe inanyikanyaga haipo clear, wanasema kwamba mtu anayetakiwa kuwa na leseni ni anayetoa maudhui kuanzia 85% kwa kipimo cha wiki.

Mara mtu hatotoa maudhui bila leseni yaani ni full kuchanganyana tu.

Wakati nchi za wenzetu wanatumia youtube free hawalipi hata buku.
Tena mi nadhani aliyekuwa anatakiwa apate hela ya usajili ni youtube wenyewe coz wamewekeza pesa, wana wafanyakazi nk! Sasa serikali inachukua hela kama nani!
 
Kinga Ni Bora kuliko Tiba ukiamua ku risk na kuendesha YouTube channel Bila kusajili hakikisha mfukoni unayo 5 milioni ipo tayari kwa lolote (faini) endapo kutatokea mushkeli. Vinginevyo Ni Bora ukafuata taratibu za mamlaka (japo Ni za kidhalimu na kinyonyaji) kuepusha Shari na wewe mwenyewe kufanya kazi kwa Uhuru na ku focus towards your feature.
 
Ili uweze kuwatala watu, wanyime elimu na uwafanye masikini.
Tena mi nadhani aliyekuwa anatakiwa apate hela ya usajili ni youtube wenyewe coz wamewekeza pesa, wana wafanyakazi nk! Sasa serikali inachukua hela kama nani!
 
Hali si hali, ukiachana na hizi leseni nilikuwa napitia page ya pfunk majani ambae anahusika na ishu za utetezi huko cosota, wasanii wanalipishwa shilingi laki 1 kwa kila video wanayopandisha youtube.

Serikali hii ilinifanya niache ndoto yangu ya kuweka video za kufundisha masomo mawili ya sekondari kwa kujitolea kama mzalendo, kwa sidhani kama ntafanya hivyo maana binafsi nina mshahara sikosi kitu lakini wataokosa ni wanafunzi ambao huenda vipindi vyangu vingewasaidia.

Utaratibu huu unafifisha ndoto za vijana wetu kujiajiri youtube, Leo hii hata kenya kuna youtube stars wengi mfano kama wachekeshaji, Hapa Tz huwezi hadi ulipie channel matokeo yake mtu mwenye kipaji analala njaa.

Serikali ingeangalia mambo ya kufata sheria tu watu wasiweke video zinazokatazwa na sheria na sio kutulipisha pesa kwa kitu wasichomiliki wala kuki controll.

Huko twitter nako kumefungiwa tetesi kwamba kuna mtu anaitwa kigogo anaikosoa serikali, Sasa huwa nawaza sana endapo hizi tetesi zina ukweli huyo mtu akifungua page zake official instagram na fb inamaana msitu mzima utachomwa (fb na insta kufungwa) ili nyoka moja afe??
 
Km ukiwa na cherehani mbili ni kiwanda kwanini wasiseme ukiwa na youtube channel ni chombo cha habari km stat tv. Kazi kweli kweli
Kuna mhusika nimejaribu kumuuliza anasema youtube channel yeyote ina sifa za kusajiliwa kwa mujibu wa sheria. Hata ukaanzisha na kuweka wimbo wako, hiyo ni tv ambayo watu wanatazama, hivyo inatakiwa uwe na leseni.
Ila sheria nyingine ngumu sana jamani!
 
Back
Top Bottom