Barabara zinazoharibika na zenye mashimo hatarishi zipo nyingi ikiwemo hiyo ya kusini.
Barabara ya kilwa ilijengwa kwa viwango duni baadhi ya sehemu na kukuwa magari yalikuwa mchache tatizo lilikuwa halijioneshi haraka (Sasa kuna malori ya Dangote).
Sidhani Kama kuna utamaduni au pesa za kumaintain barabara zetu kwa wakati.
Hata hivyo, Rais akiona tatizo lazima achukue hatua.
Mameneja watajieleza baadaye.
Barabara ya kilwa ilijengwa kwa viwango duni baadhi ya sehemu na kukuwa magari yalikuwa mchache tatizo lilikuwa halijioneshi haraka (Sasa kuna malori ya Dangote).
Sidhani Kama kuna utamaduni au pesa za kumaintain barabara zetu kwa wakati.
Hata hivyo, Rais akiona tatizo lazima achukue hatua.
Mameneja watajieleza baadaye.