Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kumekuwa na mawazo kwamba ofisi zenye mamlaka zinafanya fojari kwenye taarifa zake kwa faida za kisiasa. Japo hili halijathibitishwa.
Mfano
Mnyika wa CHADEMA amesema hajapeleka majina yoyote NEC ila NEC inasema Mnyika amesaini barua yenye majina ya Wabunge wa Viti Maalum hapa Kuna harufu ya fojari au Mnyika anadanganya.
Swali.
Je, Kama ikithibitika Mnyika hajapeleka majina hayo unaweza ukaitishwa uchunguzi wa kijinai baada ya huyo aliefoji sahihi ya Mnyika kudhaniwa analindwa na mfumo uliopo madarakani Sasa?
Je, Taifa si ni haki lijue mbivu na mbichi juu ya Mnyika vs NEC? Hata Kama ni baada ya 10+ years toka Sasa?
Mfano
Mnyika wa CHADEMA amesema hajapeleka majina yoyote NEC ila NEC inasema Mnyika amesaini barua yenye majina ya Wabunge wa Viti Maalum hapa Kuna harufu ya fojari au Mnyika anadanganya.
Swali.
Je, Kama ikithibitika Mnyika hajapeleka majina hayo unaweza ukaitishwa uchunguzi wa kijinai baada ya huyo aliefoji sahihi ya Mnyika kudhaniwa analindwa na mfumo uliopo madarakani Sasa?
Je, Taifa si ni haki lijue mbivu na mbichi juu ya Mnyika vs NEC? Hata Kama ni baada ya 10+ years toka Sasa?