David kulwa
Member
- Sep 18, 2016
- 29
- 2
Wana JF kuna taarifa zimezagaa kwamba bodi ya mikopo imefuta majina ya waliopangiwa mkopo na kuanza process upya kuna ukw wowote hapa ¿
Mimi pia nlifatilia jamaa alieleza hvyoNi kwel jana TV 1 nilikuwa nikifatilia sakata hili na mwenyekiti Wa marais Wa vyuo vyote Tanzania alidhbitisha hilo, mchakato unafanywa upya kutokana na pesa waliyokuwa wametowa kuto kidh haja za wanavyuo!