OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,127
- 24,063
Wakuu khabari zenu wakuu. Mko salama? Naomba kujua endapo nahitaji kufuta comment(s) hapa JF.
Mfano nimemuuzi mtu kwenye comment na hajapenda kile nilichoandika je nikifuta ile comment, itaondoka moja kwa moja kwenye server za jf? Na je mtu mwingine akiingia JF ataweza kuisoma ile comment?
Naombeni kujua wadau maana kuna suala nimezingua.
Asanteni sana.
Cc @Chief_Mkwawa @Modarators
Mfano nimemuuzi mtu kwenye comment na hajapenda kile nilichoandika je nikifuta ile comment, itaondoka moja kwa moja kwenye server za jf? Na je mtu mwingine akiingia JF ataweza kuisoma ile comment?
Naombeni kujua wadau maana kuna suala nimezingua.
Asanteni sana.
Cc @Chief_Mkwawa @Modarators