mkuu huko ni ku UNLOCK!Kuipa moderm uwezo wa kutumia zaidi ya laini moja kama ni ya laini moja mfano tigo,zain au voda
,mkuu huko ni ku UNLOCK!
kU flash ni some kind of controlled formatting of its firmware (najua utauliza firmware nini...search google!!) manake unafuta baadhi/zote data na programs zilizopo ndani yake..sawa na mtu anapoflash simu, nia ikiwa ni kuondoa some unwanted programms/data ambazo zinakuwa zinaleta matatizo...unaweza ukaflash modem na bado ikawa ipo LOCKED na ndo maana hata software nyingi za KU UNLOCK MODEM huwa zinafanya kazi ya ku CALCULATE UNLOCK CODES na FLASH CODES..na huwezi kutumia flash code kwa ku unlock wala kinyume chake...