Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,846
Nimekaa nimefikiria sana kuhusu matukio ambayo nayasikia na kuyashuhudia kila siku kuhusu vituko na unyama wa hawa wanaoitwa 'house girls" hasa kwa watoto wachanga na wadogo.
Hali hii imesababishwa na ukweli kuwa, wazazi wengi wanakuwa ni wafanyakazi na hivyo ni lazima waende makazini, na kuwaachia jukumu la kuwaangalia watoto hao ma haouse girl.
Kwa nchi za wenzetu ni kitu cha kawaida sana kwa maeneo ya kazi kuwa day care centers zao. Yaani kwa mfano labda hospitali au shule, utakuta ina day care yake, na wafanyakazi wenye watoto wachanga na wadogo huja nao wakati wakija kazini, na kuwaacha huko;
Kwa hiyo kwa mfano daktari anakuja na mtoto wake hospitali anayofanya kazi, halafu anaenda zake wodini au kliniki kuona wagonjwa wake, na baada ya muda mfupi anaweza kwenda kumcheki na hata kumnyonyesha mtoto wake (kama bado ananyonya), na kurudi tena kuendelea na kazi (kwa sababu hiyo day care center inakuwa ni jengo hilo hilo au karibu sana na hapo kazini). Na muda wa kutoka, anamchukua mwanae anarudi nae nyumbani.
Naona utaratibu huu ukianzishwa hapa kwetu utasaidia sana na kuokoa watoto wetu wapendwa na majanga mengi sana!
Wadau mnaonaje hii idea? karibuni kwa michango Preta gfsonwin The Boss Kaunga ladyfurahia ladyfocus Nifah warumi Senior Boss Evelyn Salt mshana jr tatty rubii Heaven Sent Katavi Tee Bag Pasco ladypepeta Nazjaz farkhina mamyake Pretty Dann94 idawa binti2013 Madame B madame na wengine wote
Hali hii imesababishwa na ukweli kuwa, wazazi wengi wanakuwa ni wafanyakazi na hivyo ni lazima waende makazini, na kuwaachia jukumu la kuwaangalia watoto hao ma haouse girl.
Kwa nchi za wenzetu ni kitu cha kawaida sana kwa maeneo ya kazi kuwa day care centers zao. Yaani kwa mfano labda hospitali au shule, utakuta ina day care yake, na wafanyakazi wenye watoto wachanga na wadogo huja nao wakati wakija kazini, na kuwaacha huko;
Kwa hiyo kwa mfano daktari anakuja na mtoto wake hospitali anayofanya kazi, halafu anaenda zake wodini au kliniki kuona wagonjwa wake, na baada ya muda mfupi anaweza kwenda kumcheki na hata kumnyonyesha mtoto wake (kama bado ananyonya), na kurudi tena kuendelea na kazi (kwa sababu hiyo day care center inakuwa ni jengo hilo hilo au karibu sana na hapo kazini). Na muda wa kutoka, anamchukua mwanae anarudi nae nyumbani.
Naona utaratibu huu ukianzishwa hapa kwetu utasaidia sana na kuokoa watoto wetu wapendwa na majanga mengi sana!
Wadau mnaonaje hii idea? karibuni kwa michango Preta gfsonwin The Boss Kaunga ladyfurahia ladyfocus Nifah warumi Senior Boss Evelyn Salt mshana jr tatty rubii Heaven Sent Katavi Tee Bag Pasco ladypepeta Nazjaz farkhina mamyake Pretty Dann94 idawa binti2013 Madame B madame na wengine wote