Kuhusu kualikwa kwa walimu ikulu wazungumze na Rais juu ya changamoto zinazowakabili

mbutamaseko

JF-Expert Member
Nov 20, 2018
735
1,050
Kama tunavyoshuhudia wadau mbali mbali wa maendeleo wakialikwa ikulu na kujadili na Mkuu juu ya changamoto zinazowakabili, na Mh hutoa maelezo sanjari na kushughulikia baadhi ya changamoto. Nadhani ni Muda mwafaka akaigeukia na hii kada ya elimu kwani nako kuna mengi yakupatiw ufumbuzi ili kujenga kizazi chenye elimu bora sambamba na kuboresha maisha ya waalimu(maticha)...

Hapa wachaguliwe hata 20 kutoka kila mkoa kumi vijijin kumi mjini. Ili nao wakatiririke nini kinasababisha mpaka wanadharaulika tofauti na enzi za Mwalimu.
 
Siungi mkono hoja yako.
Navyowajua walimu ni vigeu geu na hawana msimamo wa kile wanachokipigania, bila shaka watageukana mbele ya mkuu wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaa vuta picha walivonanjaa wakipewa misosi na posho(bahasha) za ikulu wanaweza kupoteana huko huko. Daah !!! Ila wangeitwa tu ingesaidia sana kujua wapi pa kuanzia
 
Kama tunavyoshuhudia wadau mbali mbali wa maendeleo wakialikwa ikulu na kujadili na Mkuu juu ya changamoto zinazowakabili, na Mh hutoa maelezo sanjari na kushughulikia baadhi ya changamoto. Nadhani ni Muda mwafaka akaigeukia na hii kada ya elimu kwani nako kuna mengi yakupatiw ufumbuzi ili kujenga kizazi chenye elimu bora sambamba na kuboresha maisha ya waalimu(maticha)...

Hapa wachaguliwe hata 20 kutoka kila mkoa kumi vijijin kumi mjini. Ili nao wakatiririke nini kinasababisha mpaka wanadharaulika tofauti na enzi za Mwalimu.
Sekta hii matatizo yake hayahitaji kuwakusanya waalimu wakae ikulu koz yanaonekana mengi na hayajashughulikiwa ukipeleka waalimu ikulu tutapata unafiki wakusifia hovyo na uwoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badae hata panya road watataka waende ikulu wakamwambie rais changamoto zinazowakabiki kwenye shughuli yao na iwe mubashara
Ngushi c vyema kuwafananisha waalimu na panya road. Kumbuka ni wao ndio wamekufanya ujue kuandika mpaka unakuja kuwakejeli humu. Kila kiongozi kapita mikononi mwao. Tafadhari sana tusiwakebehi kiasi hicho.
 
Kama tunavyoshuhudia wadau mbali mbali wa maendeleo wakialikwa ikulu na kujadili na Mkuu juu ya changamoto zinazowakabili, na Mh hutoa maelezo sanjari na kushughulikia baadhi ya changamoto. Nadhani ni Muda mwafaka akaigeukia na hii kada ya elimu kwani nako kuna mengi yakupatiw ufumbuzi ili kujenga kizazi chenye elimu bora sambamba na kuboresha maisha ya waalimu(maticha)...

Hapa wachaguliwe hata 20 kutoka kila mkoa kumi vijijin kumi mjini. Ili nao wakatiririke nini kinasababisha mpaka wanadharaulika tofauti na enzi za Mwalimu.
Walimu hawana changamoto. Wako vizuri tu ndio maana JUZI Wameandamana NCHI NZIMA kupongeza KIKOKOTOOOOOOOO huku wakiimba babaaaaa baaabaaa Magu mkombozi wa wanyongeeee
 
Walimu hawana changamoto. Wako vizuri tu ndio maana JUZI Wameandamana NCHI NZIMA kupongeza KIKOKOTOOOOOOOO huku wakiimba babaaaaa baaabaaa Magu mkombozi wa wanyongeeee
Wanafiki tu mbona wakati kikokotoo hakikukaa sawa hawakuandamana ''Hivi wale kunguru wenye rangi nyeupe shingoni bado wapo?''
 
Wanafiki tu mbona wakati kikokotoo hakikukaa sawa hawakuandamana ''Hivi wale kunguru wenye rangi nyeupe shingoni bado wapo?''
Walimu tumewachoka.

Kwanza nadhani ndio kada yenye watu wenye akili ndogooooo wakifuatiwa na polisi.
 
Naam. Mifumo inayowaandaa walimu haiwafunzi kufanya critical thinking, kujenga hoja na kuhoji. Ni kundi dhaifu mno katika kutetea maslahi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief epuka kuwaita waalimu wadhaifu.(ref kilichomkuta CAG) pili ule si udhaifu Bali in busara tu zinawafanya waonekane vile. Amini kwamba wewe na wengine wote ambao mnadhani ninyi si wadhaifu, ni zao la hawa hawa walimu
 
Walimu tumewachoka.

Kwanza nadhani ndio kada yenye watu wenye akili ndogooooo wakifuatiwa na polisi.
Kwa hiyo akili ndogo ndio inaandaa watu wenye akili kubwa kama wewe? Au hujafundishwa na waalimu? Yeyote ambaye unadhani anaakili kubwa kuipatia kwa hawaa waalimu.
 
Kwa hiyo akili ndogo ndio inaandaa watu wenye akili kubwa kama wewe? Au hujafundishwa na waalimu? Yeyote ambaye unadhani anaakili kubwa kuipatia kwa hawaa waalimu.
Uwezo ni "combination" ya:

1. Uwezo wangu wa kuhimili njaa na changamoto.

2. Utu, Hisia, Misimamo, Itikadi na Imani

3. Kusoma vitabu na Majarida

4. Kuona dunia inaendaje

5. Uzoefu wa uhalisia wa maisha na ukweli

6. Shule ( Hapa ieleweke kuwa siyo kila "unachoambiwa na Mwalimu basi unabeba kama kilivyo ).

- Naheshimu mtu anaejua anataka nini kwenye maisha, atakipataje, anamwekea changamoto na dhulma ni nani na anapambana naye vipi.

- Mtu mwenye uwezo wa kuhimili "Njaa" kutunza HADHI na HESHIMA.
 
Back
Top Bottom