Moderator naomba thread hii ibaki kwa muda inawezekana wakubwa wakapita na ikatusaidia.
katika kodi ya kila mwaka ya vyombo vya moto,magari ni kuwa imepangwa kwa ujazo wa engine.
Nahisi hii si sahihi na bora ipangwe kwa ujazo wa engine na matumizi yake.
Pawe na tofauti ya gari ya cc 1800 ya pickup na ile ya kutembelewa.Kuna magari ya starehe yenye cc kubwa nayo yatalipa sawa na mtu mwenye Canter ya kubebea mizigo.
katika kodi ya kila mwaka ya vyombo vya moto,magari ni kuwa imepangwa kwa ujazo wa engine.
Nahisi hii si sahihi na bora ipangwe kwa ujazo wa engine na matumizi yake.
Pawe na tofauti ya gari ya cc 1800 ya pickup na ile ya kutembelewa.Kuna magari ya starehe yenye cc kubwa nayo yatalipa sawa na mtu mwenye Canter ya kubebea mizigo.