Kuhusu Kampamba: Sheria inasemaje kuhusu kumchezesha Mchezaji asiyekuwepo benchi?

Payrol

JF-Expert Member
Feb 17, 2018
2,282
3,077
Yanga imemchezesha mchezaji ambaye hakuwepo hata Kwenye jukwaa la wachezaji wa akiba walioorodheshwa.
Je wanaweza kupokonywa point

IMG_20200255_125607.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana mmoja kati ya waliokuwa kwenye match day sqaud alipata injury dakika chache kabla ya mechi kuanza hivyo akachukua nafasi yake
 
unatoa malalamiko yasio na ushahidi, unatupa post ya mtandaoni je? umeiona list ikiyo enda kwa wahusika
 
Back
Top Bottom