Yanga imemchezesha mchezaji ambaye hakuwepo hata Kwenye jukwaa la wachezaji wa akiba walioorodheshwa.
Je wanaweza kupokonywa point
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wanaweza kupokonywa point
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mchezaji anaitwa Kampamba aliingia badala ya Niyonzima, na Kwenye sub hakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo orodha ya instagram ..fomu ya VPL jina lake limeandikwa
Hiyo ni poster tu ya mtandaoni ambayo iinatolewa masaa kadhaa kabla ya mechi, je Umeiona fomu ile ambayo inajazwa kwa mkono? Nayo ungeiweka kama ushahidiYanga imemchezesha mchezaji ambaye hakuwepo hata Kwenye jukwaa la wachezaji wa akiba walioorodheshwa.
Je wanaweza kupokonywa pointView attachment 1367878
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga imemchezesha mchezaji ambaye hakuwepo hata Kwenye jukwaa la wachezaji wa akiba walioorodheshwa.
Je wanaweza kupokonywa pointView attachment 1367878
Sent using Jamii Forums mobile app
Let me consider Interpretation of Laws and General Clause Act, CAP 1 (R.E 2002)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imewekwa kwe page ya Yanga, ko unataka kutuambia kua Yanga ni waongo.Hiyo ni poster tu ya mtandaoni ambayo iinatolewa masaa kadhaa kabla ya mechi, je Umeiona fomu ile ambayo inajazwa kwa mkono? Nayo ungeiweka kama ushahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta na ile form inayojazwa kwa mkonoHii imewekwa kwe page ya Yanga, ko unataka kutuambia kua Yanga ni waongo.
Kingine tusaidie hiyo form nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app