Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Daaaah ukweli hali ya umeme inatisha. Umeme tulioahidiwa hautakatika sasa imekuwa kama hadithi.
Hali ni mbaya sana kwa baadhi ya mikoa hasa Arusha ambako baadhi ya wadau wanasema hawataki hata kusikia jina la TANESCO.
Wadau sijui wewe hapo ulipo hali ya umeme ipoje?
Hali ni mbaya sana kwa baadhi ya mikoa hasa Arusha ambako baadhi ya wadau wanasema hawataki hata kusikia jina la TANESCO.
Wadau sijui wewe hapo ulipo hali ya umeme ipoje?