Kuhusu Fast Jet kuzuia perfume kwenye mizigo ya abiria

Lete elimu basi ya kwanini zinazuiwa.

Mwenyewe kuna siku nlizuiliwa perfume sema nkaweka kauso kahuruma nikapita nayo. Ila haikua fast jet
 
Leo Thursday at around 1200 hrs katika check in counter ya Fast jet uwanja wa Dar niliambiwa nitoe perfume yangu kwani haziruhusiwi ndani ya ndege.

Baada ya kuwaelezea jinsi regulations za Dangerous goods zilivyo kuhusu perfumes niligundua haraka kuna mchezo mchafu unafanyika pale kwenye counter.

Chupa moja inaruhusiwa kama accompanied baggage.
Mamlaka husika fanyeni uchunguzi pse
Hao jamaa ni wezi sana hata precission walikuwa hako kamchezo sana tu
 
Wanaogopa kitu inaitwa Liquid explosive,
magaidi nao wameadvance,sikuhizi wanatumia milipuko ya majimaji kulipua ndege,nadhani hiyo ni moja ya tahadhali
 
Niliwahi acha lotion mpya tu pale Songwe..iliniuma sana!! Ndo ujifunze muda mwingine siyo vitu vya kubeba kwenye ndege hivyo!
 
Hawaruhusu perfume na lotion au kitu chochote kinachoweza kuharibu oxygen ndani ya ndege abiria wakashindwa kupumua vizuri, labda uweke kwenye bag la kwenda chini lakini siyo kule ndani kwa abiria, ni ndege zote siyo fastjet tu
Huo utaratibu wao sijauelewa, walipaswa watupe darasa ili tusisumbuane
 
Binafsi nasafiri Mara kwa Mara na huwa napita navyo vyote naweka kwenye bag la mgongoni basi hata huwa sipati usumbufu ila ndge tam wakuu nikiangalia Yale ma Qatar na emirate nawaza utam wake utakuwaje kama haka ka local flight kanaburudisha kiasi kile unafika mapema kama ulilala mwanza (huwa naenda mwanza )
 
Hilo mimi linanisumbuwa sana.....AIR LINES NYINGI hawaruhusu Kuingia na PERFUME au BODY SPRAY ndani ya NDEE...LAKINI cha ajabu WAO WANAUZA PERFUMES humo ndani ya ndege. Sijuwi wanakwepa nn
 
unatakiwa kuweka kwenye mzigo utakaoenda cargo, so kama una hegi kubwa la nguobweka huko sio begi la mkononi, huo wote ni ulugumya wako, sio hiyo u hata ndege kubwa hufanya hivyo
 
Leo Thursday at around 1200 hrs katika check in counter ya Fast jet uwanja wa Dar niliambiwa nitoe perfume yangu kwani haziruhusiwi ndani ya ndege.

Baada ya kuwaelezea jinsi regulations za Dangerous goods zilivyo kuhusu perfumes niligundua haraka kuna mchezo mchafu unafanyika pale kwenye counter.

Chupa moja inaruhusiwa kama accompanied baggage.
Mamlaka husika fanyeni uchunguzi pse

Mkuu hakuna airport inayoruhusu perfume ndani ya ndege labda uinunue kwenye duty free shop ndani ya airport. Hapo wape hongera wakaguzi wa airport kwa kugundua makosa yao waliyokuwa wanafanya zamani.
 
Wabongo tuna shida sana. Kuna mtu aliweka mbuzi ya kukunia nazi ndani ya begi wakati anaona kabisa ni silaha ile.
 
Back
Top Bottom