Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,206
- 12,907
Mh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?
Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?
Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.
View attachment 2007829
Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?
Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.
View attachment 2007829