alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,637
- 5,795
Kadri hatari ya Corona inavyozidi kuongezeka inatubidi kutafuta kila taarifa za kitaalamu kujua namna sahihi tunavyoweza kujikinga
Binafsi kuanzia siku ya leo nimeshuhudia watu wameanza kutumia mask kuziba mdomo na pua, lakini katika hali ya kawaida nimetafakari sana kama kweli kufanya hivyo ndio inasaidia kujikinga au labda hata ndio inaongeza hatari ya maambukizi kwa sababu ya kama kuzuia mzunguko wa hewa ya kutosha
Katika kutafuta taarifa nimepitia WHO website kujua wao wanasemaje kuhusu hizi masks nikakuta taarifa hii, ambayo kwa kifupi tu inaeleza kuwa matumizi ya masks haisaidii kumkinga mtu asiambukizwe ila inatakiwa kutumiwa na wale ambao tayari wana maambukizi na wameshaona dalili za kuumwa
When and how to use masks
Binafsi kuanzia siku ya leo nimeshuhudia watu wameanza kutumia mask kuziba mdomo na pua, lakini katika hali ya kawaida nimetafakari sana kama kweli kufanya hivyo ndio inasaidia kujikinga au labda hata ndio inaongeza hatari ya maambukizi kwa sababu ya kama kuzuia mzunguko wa hewa ya kutosha
Katika kutafuta taarifa nimepitia WHO website kujua wao wanasemaje kuhusu hizi masks nikakuta taarifa hii, ambayo kwa kifupi tu inaeleza kuwa matumizi ya masks haisaidii kumkinga mtu asiambukizwe ila inatakiwa kutumiwa na wale ambao tayari wana maambukizi na wameshaona dalili za kuumwa
When and how to use masks