Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,281
Ningependa mnisaidie kwa wanaofahamu.
Inahusiana na nini hasa?
Unaweza kuisoma wapi?
Utafanya kazi zipi?
Ajira yake ikoje?
Mtu yeyote anaweza kuisoma au mpaka uwe na extra knowledge ya mambo ya computer?
Kwa wenye uelewa please naombeni mnisaidie nataka nipate general knowledge yake kwa upana kidogo.
Inahusiana na nini hasa?
Unaweza kuisoma wapi?
Utafanya kazi zipi?
Ajira yake ikoje?
Mtu yeyote anaweza kuisoma au mpaka uwe na extra knowledge ya mambo ya computer?
Kwa wenye uelewa please naombeni mnisaidie nataka nipate general knowledge yake kwa upana kidogo.