Kuhusu Bunge kujua alipo Mbunge Tundu Lissu: Wangapi watakubaliana au kupingana na mimi?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,193
25,504
Mwanzo mwanzoni naomba nijiepushe kuingia kwenye mjadala juu ya uhalali au uharamu wa kufutwa kwa Ubunge wa Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki. Sababu yangu kuu ni moja:jambo hilo ni la kisheria linalohitaji kujadiliwa,ushahidi na tafsiri ya kikatiba na kisheria. Mahali sahihi ni mahakamani,hususani Mahakama Kuu ya Tanzania.

Iliripotiwa humu JF kuwa mshahara wa Mbunge wa Singida Mashariki na Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu umesitishwa kufuatia kile kinachosemwa kuwa Bunge (uongozi wa Bunge) halijui alipo Tundu Lissu. Hoja ya kutojulikana alipo Lissu ndiyo mzizi uliositisha mshahara wake.

Mbunge Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi Septemba mwaka 2017. Ingawa sijui idadi halisi ya Mikutano ya Bunge iliyofanyika tangu hapo,naamini mikutano mitatu inafika. Najua na kuamini kuwa Lissu hakuhudhuria vikao na mikutano ya Bunge tangu hapo Septemba 2017. Amekuwa akipokea matibabu ya majeraha take yaliyotokana na shambulio dhidi yake.

Pamoja na kutohudhuria kwake Bunge kwa kipindi chote hicho,Ubunge wa Lissu umebaki na haujafutwa au kusitishwa. Maana yake ni nini? It means and implies kwamba Lissu ana sababu za kueleweka na za kihalisia za kutohudhuria. Also,it means and implies that uongozi wa Bunge unazijua sababu hizo na umezikubali.

Kubaki kwa Ubunge wa Lissu hadi sasa ni kukubalika kwa sababu zake na uongozi wa Bunge. It also means and implies that alipo kunajulikana na anachokifanya kinajulikana. Iweje mshahara wake usimamishwe ikisemwa hajulikani alipo?

Naamini kuwa alipo Lissu panajulikana na uongozi wa Bunge ndiyo maana Ubunge wake unaendelea. Wangapi na akina nani watakubalina au kupingana nami? Jumamosi njema waungwana na wazalendo wa Tanzania!
 
Ubunge wa Lissu haujafutwa kwa sababu zile alizosema Mbowe 'kutumia busara' lakin katika utaratibu wa kawaida wa kiutumishi Hata ukiwa unaumwa Na unajigharimia shughuli zote Za Matibabu una wajibu wa ku update Ofisi yako ya ajira kuhusu Hali yako ya Kiafya

Hata Sie tulipokuwa Watumishi ilikuwa ukiumwa unajulisha Ofisi yako Mara kwa Mara ili wajue reasons for your absence Kwa Kuwa Ofisi haiwezi kujua Kama umepona na kuamua kuachana Na ajira yako Au vinginevyo

Spika Ndugai kasitisha Mshahara wa Lissu kuepuka hoja ya ukaguzi kwa Kuwa Ofisi haija Taarifa RASMI Za Mgonjwa kuhusu kutokuwepo kwake ofisin na Kama akijulisha Taarifa zake rasmi hapo wanaweza kuendelea kumpa Mshahara
 
Ubunge wa Lissu haujafutwa kwa sababu zile alizosema Mbowe 'kutumia busara' lakin katika utaratibu wa kawaida wa kiutumishi Hata ukiwa unaumwa Na unajigharimia shughuli zote Za Matibabu una wajibu wa ku update Ofisi yako ya ajira kuhusu Hali yako ya Kiafya

Hata Sie tulipokuwa Watumishi ilikuwa ukiumwa unajulisha Ofisi yako Mara kwa Mara ili wajue reasons for your absence Kwa Kuwa Ofisi haiwezi kujua Kama umepona na kuamua kuachana Na ajira yako Au vinginevyo

Spika Ndugai kasitisha Mshahara wa Lissu kuepuka hoja ya ukaguzi kwa Kuwa Ofisi haija Taarifa RASMI Za Mgonjwa kuhusu kutokuwepo kwake ofisin na Kama akijulisha Taarifa zake rasmi hapo wanaweza kuendelea kumpa Mshahara
Ulifanya kazi Ofisi gani ambayo inaweza kuacha kukulipa kwa sababu hauonekani kazini ila haikufukuzi kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Nassary kufutiwa ubunge hata mimi niliwaza jambo kama hili, kama spika anasema hajui TL alipo na hana taarifa huko aliko anafanya nini kwa nini hakumfutia ubunge kwa sababu ana muda mrefu tu hayupo bungeni. Je kwa nini wasimamishe mshara wake tu na sio ubunge. Yani huhitaji akili kubwa sana kugundua kwamba haya yote yanayoendelea ni mpango ambao ulikwisha sukwa muda tu... Haya maamuzi yamefanywa na wenye kushikilia dola kwa sasa. Shame on them :mad:
 
Baada ya Nassary kufutiwa ubunge hata mimi niliwaza jambo kama hili, kama spika anasema hajui TL alipo na hana taarifa huko aliko anafanya nini kwa nini hakumfutia ubunge kwa sababu ana muda mrefu tu hayupo bungeni. Je kwa nini wasimamishe mshara wake tu na sio ubunge. Yani huhitaji akili kubwa sana kugundua kwamba haya yote yanayoendelea ni mpango ambao ulikwisha sukwa muda tu... Haya maamuzi yamefanywa na wenye kushikilia dola kwa sasa. Shame on them :mad:
Je kusitisha mshahara si sawa na kufutiwa ubunge? Anakuwaje mbunge na huku hata katibu wake hapewi posho yoyote ambayo nafikiri inatoka kwenye mshahara wa mbunge?
 
Je kusitisha mshahara si sawa na kufutiwa ubunge? Anakuwaje mbunge na huku hata katibu wake hapewi posho yoyote ambayo nafikiri inatoka kwenye mshahara wa mbunge?

Kama kusimamishiwa mshahara ni sawa na kufutiwa ubunge kwa jinsi unavyowaza wewe, Kwa nini JN kafutiwa ubunge wake na si kusimamishiwa mshahara?
 
Hawa jamaa wanajitoa ufahamu tu, wanajua kila kitu lakini uzuri ni kwamba hata wao kuna siku watakufa au wataugua
Iweje mshahara wake usimamishwe ikisemwa hajulikani alipo?

Naamini kuwa alipo Lissu panajulikana na uongozi wa Bunge ndiyo maana Ubunge wake unaendelea. Wangapi na akina nani watakubalina au kupingana nami? Jumamosi njema waungwana na wazalendo wa Tanzania!
 
Ubunge wa Lissu haujafutwa kwa sababu zile alizosema Mbowe 'kutumia busara' lakin katika utaratibu wa kawaida wa kiutumishi Hata ukiwa unaumwa Na unajigharimia shughuli zote Za Matibabu una wajibu wa ku update Ofisi yako ya ajira kuhusu Hali yako ya Kiafya

Hata Sie tulipokuwa Watumishi ilikuwa ukiumwa unajulisha Ofisi yako Mara kwa Mara ili wajue reasons for your absence Kwa Kuwa Ofisi haiwezi kujua Kama umepona na kuamua kuachana Na ajira yako Au vinginevyo

Spika Ndugai kasitisha Mshahara wa Lissu kuepuka hoja ya ukaguzi kwa Kuwa Ofisi haija Taarifa RASMI Za Mgonjwa kuhusu kutokuwepo kwake ofisin na Kama akijulisha Taarifa zake rasmi hapo wanaweza kuendelea kumpa Mshahara
Mkuu mambo mengine ni ngumu sana kuyatetea ukaeleweka mojawapo ni hili..... kwakweli wanawapa tabu watetezi wao, nauona ugumu wanao wapa kwakweli.
 
Ubunge wa Lissu haujafutwa kwa sababu zile alizosema Mbowe 'kutumia busara' lakin katika utaratibu wa kawaida wa kiutumishi Hata ukiwa unaumwa Na unajigharimia shughuli zote Za Matibabu una wajibu wa ku update Ofisi yako ya ajira kuhusu Hali yako ya Kiafya

Hata Sie tulipokuwa Watumishi ilikuwa ukiumwa unajulisha Ofisi yako Mara kwa Mara ili wajue reasons for your absence Kwa Kuwa Ofisi haiwezi kujua Kama umepona na kuamua kuachana Na ajira yako Au vinginevyo

Spika Ndugai kasitisha Mshahara wa Lissu kuepuka hoja ya ukaguzi kwa Kuwa Ofisi haija Taarifa RASMI Za Mgonjwa kuhusu kutokuwepo kwake ofisin na Kama akijulisha Taarifa zake rasmi hapo wanaweza kuendelea kumpa Mshahara
Maelezo ya kipuuzi kutetea uibili wa speaker!!!Kufuta mshahara kwa mtu anayejitibu mwenyew baada ya kunyimwa hela ya matibabu ni busara ila ubunge sio busara?Hapa si nikutaka kumuua mtu na hvyo kuchukua ubunge baada ya kifo!!Kwa maana hyo wanachotaka kwa Lissu ni kifo na sio jina la ubunge.
 
Ubunge wa Lissu haujafutwa kwa sababu zile alizosema Mbowe 'kutumia busara' lakin katika utaratibu wa kawaida wa kiutumishi Hata ukiwa unaumwa Na unajigharimia shughuli zote Za Matibabu una wajibu wa ku update Ofisi yako ya ajira kuhusu Hali yako ya Kiafya

Hata Sie tulipokuwa Watumishi ilikuwa ukiumwa unajulisha Ofisi yako Mara kwa Mara ili wajue reasons for your absence Kwa Kuwa Ofisi haiwezi kujua Kama umepona na kuamua kuachana Na ajira yako Au vinginevyo

Spika Ndugai kasitisha Mshahara wa Lissu kuepuka hoja ya ukaguzi kwa Kuwa Ofisi haija Taarifa RASMI Za Mgonjwa kuhusu kutokuwepo kwake ofisin na Kama akijulisha Taarifa zake rasmi hapo wanaweza kuendelea kumpa Mshahara
hawana taarifa kuanzia lini? mbona hawamvui ubunge?
 
Mwanzo mwanzoni naomba nijiepushe kuingia kwenye mjadala juu ya uhalali au uharamu wa kufutwa kwa Ubunge wa Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki. Sababu tangu kuu ni moja:jambo hilo ni la kisheria linalohitaji kujadiliwa,ushahidi na tafsiri ya kikatiba na kisheria. Mahali sahihi ni mahakamani,hususani Mahakama Kuu ya Tanzania.

Iliripotiwa humu JF kuwa mshahara wa Mbunge wa Singida Mashariki na Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu umesitishwa kufuatia kile kinachosemwa kuwa Bunge (uongozi wa Bunge) halijui alipo Tundu Lissu. Hoja ya kutojulikana alipo Lissu ndiyo mzizi uliositisha mshahara wake.

Mbunge Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi Septemba mwaka 2017. Ingawa sijui idadi halisi ya Mikutano ya Bunge iliyofanyika tangu hapo,naamini mikutano mitatu inafika. Najua na kuamini kuwa Lissu hakuhudhuria vikao na mikutano ya Bunge tangu hapo Septemba 2017. Amekuwa akipokea matibabu ya majeraha take yaliyotokana na shambulio dhidi yake.

Pamoja na kutohudhuria kwake Bunge kwa kipindi chote hicho,Ubunge wa Lissu umebaki na haujafutwa au kusitishwa. Maana yake ni nini? It means and implies kwamba Lissu ana sababu za kueleweka na za kihalisia za kutohudhuria. Also,it means and implies that uongozi wa Bunge unazijua sababu hizo na umezikubali.

Kubaki kwa Ubunge wa Lissu hadi sasa ni kukubalika kwa sababu zake na uongozi wa Bunge. It also means and implies that alipo kunajulikana na anachokifanya kinajulikana. Iweje mshahara wake usimamishwe ikisemwa hajulikani alipo?

Naamini kuwa alipo Lissu panajulikana na uongozi wa Bunge ndiyo maana Ubunge wake unaendelea. Wangapi na akina nani watakubalina au kupingana nami? Jumamosi njema waungwana na wazalendo wa Tanzania!
Ndugai ni kiongozi mjinga sana!
 
Back
Top Bottom