Kuhusu bumu

oscartimothy

Member
Aug 21, 2013
7
1
To all university student.
Jamani ... tume vumilia sana hii hali ya kukosa bumu ..
Lakin ina maanisha nn kwa bodi ya mikopo kutoa ela kwa baadhi ya vyuo na kusahau vyuo vingine ..

Toa maoni yako kuhusu hili
 
Ooyooo wasilamu wasema subira minrahamani kwa hiyo muwe watulivu na unyeyekevu msiwe na kibri
 
Back
Top Bottom