oscartimothy
Member
- Aug 21, 2013
- 7
- 1
To all university student.
Jamani ... tume vumilia sana hii hali ya kukosa bumu ..
Lakin ina maanisha nn kwa bodi ya mikopo kutoa ela kwa baadhi ya vyuo na kusahau vyuo vingine ..
Toa maoni yako kuhusu hili
Jamani ... tume vumilia sana hii hali ya kukosa bumu ..
Lakin ina maanisha nn kwa bodi ya mikopo kutoa ela kwa baadhi ya vyuo na kusahau vyuo vingine ..
Toa maoni yako kuhusu hili