Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Hukumpa Kura Dr Slaa, hukuwa mwanachama wa CDM tangu uzaliwe, huenda wewe ni Makamba snr, hujafanya utafiti badala yake umeropoka bila kuchambua sheria zinasemaje kuhusu maandamano ya watu ikiwemo hiyo ya CDM. Mtu mzima hovyo, na bado sasa maandamano tunajimwaga tu hakuna wa kuturudisha nyuma; p olisi wa Tanzania wamekuwa wauaji wa rai wasio na hatia