Agreed hazitanisaidia, lakini weka au weka namba yako ya mtihani tuangalie bila jina???????Zangu, hazitakusaidia kufaulu. Jambo la msingi sana achana na mbunye /papunchi soma hizo alama ni za kawaida sana kwa mtu aliyemakini na mambo ya shule.
Ila ukiwa kiguu na papunchi /mkunyange hizo alama utazisikilizia kwa wenzio.
Perfect, wasome wasicheze, LAKINI, weka zako tuone kama ulifika huko na hivyo ulikuwa hucheziHazina shida mbona nilichojifunza vijana wa siku hizi wanataka mteremko waambie wasome waache kucheza.
Agreed hazitanisaidia, lakini weka au weka namba yako ya mtihani tuangalie bila jina???????
we ulipata ngapi kwanini hamsemagi ukwel mnakera sanaJambo la msingi sana utaona Wenzako wana 1: 3 ndiyo utaelewa kuwa hizo alama ni za kawaida sana.
Sasa wewe endelea kupiga domo kwenye mitandao matokeo yatakuonesha walioweza kupata 1:3-9 kali ndiyo utakumbuka kwa machozi huu muda
stupid people ka ww they exists only in TZ kwahyo unahisi sababu ya kufeli ni mapenzi kuna watu wanasoma ktk facilities mbovu I repeat STUPIDJambo la msingi sana utaona Wenzako wana 1: 3 ndiyo utaelewa kuwa hizo alama ni za kawaida sana.
Sasa wewe endelea kupiga domo kwenye mitandao matokeo yatakuonesha walioweza kupata 1:3-9 kali ndiyo utakumbuka kwa machozi huu muda
Grade za kawaida sana hizo.
Tatizo wanafunzi hapo Tanzania, kutwa nzima wanashinda kwenye; mkunyange na papunchi kisha wanategemea wafaulu.
Ha Ha Ha! Mkuu Nimecheka Mpaka
Nimekatika Maini.
Mkuu nitakuuliza source ya hii taarifa. Sijaioa NECTA na pia kutakuwa na kitu cha ajabu kama mwaka wa jana 2016 walibadilisha na mwaka huu wafanye hivyo tena. Halafu baada ya kupandisha viwango vya kuingia chuo kikuu last year hii itakuwa disaster (hata kama kuna wanao fikiria kuwa ni kitu cha kawaida). Pia tutakuwa watu wa ajabu kubadilisha sheria wakati mchezo una endelea hata kama walifanya hivyo last year.Nimesikia eti alama za ufaulu ni kama zifuatazo by Ndalichako Bungeni.
A: 85-100
B: 75-84
C: 70-74
D: 61-69
E: 51-60
S: 35-50
F: 0-34
Tusubiri kama ni kweli. Kuna kutu kimejificha , kitajulikana with time.
Nasikia eti na muda wa kufanya mtihani umebadilika.
Kwa waingereza
Grading
A level examinations are graded on a scale of A* to E. Students that take the full A level in addition to the AS are awarded one grade for each subject, with the AS results being subsumed into the A level point score if not ‘cashed in’ as a terminal credential after the first year of study. For universities using the centralized Universities and Colleges Admissions Services (UCAS) process for admission, grades are also attributed Tariff Points (see below for an explanation of Tariff Points) as follows for each A level grade:
Weka namba ya mthihan WA kidacho cha 6 nitizame matokeo yako cos ninawasiwasi na ufaulu wakoGrade za kawaida sana hizo.
Tatizo wanafunzi hapo Tanzania, kutwa nzima wanashinda kwenye; mkunyange na papunchi kisha wanategemea wafaulu.
Kama aliishia form 4 tena kwa alama ya bashite jeWeka namba ya mthihan WA kidacho cha 6 nitizame matokeo yako cos ninawasiwasi na ufaulu wako