Kuhusiana na sakata la Makinikia:Kumnanga T. A. lisu ni kupotoka

dalalitz

JF-Expert Member
Sep 6, 2013
3,332
1,862
Binafsi sina ushirika, Ukaribu wala uhusiano wa namna yoyote na Mtanzania Tundu Lisu.
Mwana sheria mahiri makini na mwenye kofia kadhaa za Kitaaluma, Kisiasa, Kiharakati na nathubutu kusema raia Mzalendo ingawa baadhi ya watu hawamkubali kwa unafki tu.

Silazimiki kueleza wasifu wake hapa Ila tu itoshe kusema:
Akiongea inaonekana dhati katika kupigania Haki na maslahi ya Mtanzania wa kawaida kutoka katika rasilimali ya Madini, Mafuta na Geti.

Binafsi,
Nimeanza kumsikia na kumuona kupitia vyombo mbalimbali vya habari akiwa katika juhudi na harakati mbalimbali kabla hata hajawa Mbunge.

Mara nyingi pengine ni kutokana na umahiri wake kwenye nyanja ya sheria nimekuwa Nikisikia akilalamika juu ya uwepo wa sheria zisizofaa na zisizo na Maslahi stahili kwa Tanzania,
Hiki ndicho zaidi kimekuwa kilio chake siku zote tangia Enzi hizo zaidi ya miaka Kumi iliyopita.

Hata hivyo,
Siwezi na sitaki kuwa mtetezi wake kwenye kila jambo Ila waswahili Tunasema Mnyonge.........?

Wanaokinzana nae hata hivyo wamegawanyika,
Wapo wanaochagizwa na nguvu za Kisiasa lakini pia wapo 'Bandera fuata upepo'.

Ukweli wa mambo ni huu:
Mikataba mingi katika Nchi hii ina walakini na haifaidishi Nchi na wananchi.
Hili lipo wazi na Ushahidi unatokeza kila uchao sasa kumpuuza na kumkejeli Mtu ambae amekua akiyapigania haya kelele miaka na miaka ni kudhihirisha kiasi gani hatujitambui.
Au hadi afe ndio tuanze kumsifia?
Tuache unafki, Mungu hapendi.

Kwa mwenye Akili yenye afya nipe dokezo:
Unajua Kwanini wenye Makinikia tunaaminishwa ni Wezi-wetu lakini hatuwastaki?
Usinijibu, Teheee!

Nawasilisha.
 
Binafsi sina ushirika, Ukaribu wala uhusiano wa namna yoyote na Mtanzania Tundu Lisu.
Mwana sheria mahili mwenye kofia kadhaa za Kitaaluma, Kiharakati na nathubutu kusema kizalendo pia.

Silazimiki kueleza wasifu wake hapa Ila tu inatosha kusema ni mpiganaji na tuliobahatika kuona juhudi zake kwa kupitia tu vyombo vya habari itoshe tu kusema Mchango wake ni mkubwa katika Utetezi wa maswala ya mazingira, Haki pamoja yanayihusu maslahi ya Nchi na zaidi upande wa Tanzania kunufaika na rasilimali ya Madini.

Binafsi, Nimeanza kumsikia na kumuona kupitia vyombo mbalimbali vya habari akiwa katika juhudi na harakati mbalimbali kabla hata hajawa Mbunge.

Mara nyingi pengine ni kutokana na Ubobezi wake kwenye nyanja ya sheria nimekuwa Nikisikia akilalamika juu ya uwepo wa sheria zisizofaa na zisizo na Maslahi stahili kwa Tanzania, Hiki ndicho Kilipo chake siku zote.

Hata hivyo,
Siwezi na sitaki kuwa mtetezi wake kwenye kila kitu ikiwemo nisivyovijua Ila waswahili Tunasema Mnyonge.........?

Mikataba mingi katika Nchi hii ina walakini na haifaidishi Nchi,
Hili lipo wazi na Ushahidi unatokeza kila uchao sasa kumpuuza, kumpuuza na kumkejeli Mtu ambae amekua akiyapigania haya kelele miaka na miaka ni kudhihirisha kiasi gani hatujitambui.
Au hadi afe ndio tuanze kumsifia?
Tuache unafki, Mungu hapendi.

Kwa mwenye Akili yenye afya nipe dokezo:
Unajua Kwanini wenye Makinikia tunaaminishwa ni Wezi-wetu lakini hatuwastaki?
Usinijibu, Teheee!

Nawasilisha.


Kwa mtu mweledi na anayejua tulikotoka na matakataka ya mikataba mibovu lukuki, hawezi kumnanga TL hata kidogo, labda kama ni jitihada za Mbuni kuficha kichwa chake mchangani, ukweli unajulikana; maccm na kura zao za NDIYOOO na MIPASHO bungeni ndio zilizotufikisha hapa, wakubali ukweli, waombe msamaha taifa lisonge mbele!
 
Binafsi sina ushirika, Ukaribu wala uhusiano wa namna yoyote na Mtanzania Tundu Lisu.
Mwana sheria mahili mwenye kofia kadhaa za Kitaaluma, Kiharakati na nathubutu kusema kizalendo pia.

Silazimiki kueleza wasifu wake hapa Ila tu inatosha kusema ni mpiganaji na tuliobahatika kuona juhudi zake kwa kupitia tu vyombo vya habari itoshe tu kusema Mchango wake ni mkubwa katika Utetezi wa maswala ya mazingira, Haki pamoja yanayihusu maslahi ya Nchi na zaidi upande wa Tanzania kunufaika na rasilimali ya Madini.

Binafsi, Nimeanza kumsikia na kumuona kupitia vyombo mbalimbali vya habari akiwa katika juhudi na harakati mbalimbali kabla hata hajawa Mbunge.

Mara nyingi pengine ni kutokana na Ubobezi wake kwenye nyanja ya sheria nimekuwa Nikisikia akilalamika juu ya uwepo wa sheria zisizofaa na zisizo na Maslahi stahili kwa Tanzania, Hiki ndicho Kilipo chake siku zote.

Hata hivyo,
Siwezi na sitaki kuwa mtetezi wake kwenye kila kitu ikiwemo nisivyovijua Ila waswahili Tunasema Mnyonge.........?

Mikataba mingi katika Nchi hii ina walakini na haifaidishi Nchi,
Hili lipo wazi na Ushahidi unatokeza kila uchao sasa kumpuuza, kumpuuza na kumkejeli Mtu ambae amekua akiyapigania haya kelele miaka na miaka ni kudhihirisha kiasi gani hatujitambui.
Au hadi afe ndio tuanze kumsifia?
Tuache unafki, Mungu hapendi.

Kwa mwenye Akili yenye afya nipe dokezo:
Unajua Kwanini wenye Makinikia tunaaminishwa ni Wezi-wetu lakini hatuwastaki?
Usinijibu, Teheee!

Nawasilisha.
Wapinzani ni wazalendo wa KWELI hapa nchini.
CCM ni wauza nchi na rasimali zote hilo halina ubishi tumeona na tumeshuhudia miaka yote walivyotufikisha hapa.

Anachofanya mtukufu mungu aliye juu ya yote ni kutaka kuudhoofisha upinzani kwa ukweli waluouonyesha miaka yote ktk kupiga kelele kuhusu huu wizi wao wanaoufanya.
Leo anajidai ni mtetezi wa wanyonge wakati hamna lolote zaidi ya marudio ya kuwafurahisha mazuzu.
 
tatizo lissu aliyoyapigania na kuyahubiri sasa ivi yanafanyiwa kazi, bahati mbaya kwake ni kuwa kaanza kuyapinga Yale aliyoyataka yafanyiwe kazi na hapo ndo kumnanga lissu kunapokuja
 
Binafsi sina ushirika, Ukaribu wala uhusiano wa namna yoyote na Mtanzania Tundu Lisu.
Mwana sheria mahili mwenye kofia kadhaa za Kitaaluma, Kiharakati na nathubutu kusema kizalendo pia.

Silazimiki kueleza wasifu wake hapa Ila tu inatosha kusema ni mpiganaji na tuliobahatika kuona juhudi zake kwa kupitia tu vyombo vya habari itoshe tu kusema Mchango wake ni mkubwa katika Utetezi wa maswala ya mazingira, Haki pamoja yanayihusu maslahi ya Nchi na zaidi upande wa Tanzania kunufaika na rasilimali ya Madini.

Binafsi, Nimeanza kumsikia na kumuona kupitia vyombo mbalimbali vya habari akiwa katika juhudi na harakati mbalimbali kabla hata hajawa Mbunge.

Mara nyingi pengine ni kutokana na Ubobezi wake kwenye nyanja ya sheria nimekuwa Nikisikia akilalamika juu ya uwepo wa sheria zisizofaa na zisizo na Maslahi stahili kwa Tanzania, Hiki ndicho Kilipo chake siku zote.

Hata hivyo,
Siwezi na sitaki kuwa mtetezi wake kwenye kila kitu ikiwemo nisivyovijua Ila waswahili Tunasema Mnyonge.........?

Mikataba mingi katika Nchi hii ina walakini na haifaidishi Nchi,
Hili lipo wazi na Ushahidi unatokeza kila uchao sasa kumpuuza, kumpuuza na kumkejeli Mtu ambae amekua akiyapigania haya kelele miaka na miaka ni kudhihirisha kiasi gani hatujitambui.
Au hadi afe ndio tuanze kumsifia?
Tuache unafki, Mungu hapendi.

Kwa mwenye Akili yenye afya nipe dokezo:
Unajua Kwanini wenye Makinikia tunaaminishwa ni Wezi-wetu lakini hatuwastaki?
Usinijibu, Teheee!

Nawasilisha.
Wewe ni Nyumbu
 
Kwa mtu mweledi na anayejua tulikotoka na matakataka ya mikataba mibovu lukuki, hawezi kumnanga TL hata kidogo, labda kama ni jitihada za Mbuni kuficha kichwa chake mchangani, ukweli unajulikana; maccm na kura zao za NDIYOOO na MIPASHO bungeni ndio zilizotufikisha hapa, wakubali ukweli, waombe msamaha taifa lisonge mbele!
Faida ya miswaada ya dharura na matokeo yake kulifikisha taifa pabaya staki kusema mengi lakini ukichambua maana ya dharura sipati picha hatukua na njaa magonjwa wala vita sasa hiyo dharura mmmmmm
 
et hutaki kuwa mtetezi wake! Acha unafiki wewe jamaa tunakujua ni timu lissu Chadema damu
 
Back
Top Bottom