imes namuhurumia bt sometimes cmuhurumii.bt naona bora ajifunze ili na watoto wenye umri wake wayaache mambo ya wakubwa.kalifanya birthday kwa mbwembwe kua waliokua wanasema mdogo haruhucwi kufanya mambo ya kikubwa wazime zao kwani amefikisha miaka18,sasa hata mimi nashangaa anaposema ana miaka17,baba anadai ni 16.hili pia ni funzo kwa wazazi wake mtoto akiwa star haimaanishi kua ndo bas ayaendeshe maisha yake mwenyewe,wazazi wa lulu ndo wakulaumiwa zaid..ona hata umri wa mtoto wao hawaujui dah kweli cio kila mwenye mtoto anastahili kuitwa baba au mama.