GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,793
- Thread starter
- #61
Kuna Dhambi kubwa na Dhambi NdogoAs an imperfect human being, you gotta extend an unconditional forgiveness. Omboleza kama kawaida.
Binadamu wote, ukiwemo wewe na mimi, ni watenda dhambi. Unfortunately, kwa Mungu, dhambi ni dhambi; hakuna dhambi kubwa na dhambi ndogo. Kwa hiyo, kwa Mungu wewe na huyo kibaka mzoefu ngoma draw unless wewe mwenzetu ni binadamu mkamilifu!
Si afadhali mwenzio mwizi kafa kiume na kwa matofali kuliko wewe utakaekufa kwenye madanguro ukijinadiKuna Kijana Mmoja ambaye nadhani kama kungekuwa na Shindano la Kutafuta Vibaka Bora Tanzania nzima nina uhakika kila mara angeibuka Mshindi ila baada ya Sisi Kaka zake na Wanajamii kila mara Kumuasa na Kumuonya aachane na hiyo tabia mbaya ( japo na Sisi pia alikuwa akituibia ) hakutaka Kutusikia na hatimaye Jioni hii alienda Kuiba mahala na wamemuua.
Cha Kunishangaza kabisa wakati Mimi nikikataa kabisa kwenda Msibani Kwao kwakuwa sijaona na sioni Tija yoyote ile ya Kuhudhuria Msiba wake huyo Kibaka mzoefu kuna Watu kadhaa ambao hata Wao walishaibiwa nae mno Vitu vyao vya Thamani tu nimewaona Machozi yakiwatoka na wakisikitika Kuuwawa Kwake na wengine hivi sasa wanaenda Msibani Nyumbani Kwao.
Kama kawaida hakuna mahala ambapo huwa napaamini kuwa huwa pananijenga na nikiri pamesababisha uwezo wangu wa Kufikiri kuwa mkubwa kama Kukutana na ' Intelligent Members ' wa JamiiForums kwa Michango yao mbalimbali yenye Mantiki na Tija wameweza Kuimarisha sana Ubongo wangu hivyo naamini na hapa pia nitapata Hekima na Busara zao.
Je kati ya Mimi GENTAMYCINE niliyegoma na kuapa kabisa kuwa sitohudhuria Msiba wa huyo Kibaka Mzoefu aliyeuwawa Jioni hii na wale Wenzangu ( wana Jamii ) ambao nao pia ni Wahanga wa Kuibiwa nae wameamua hivyo hivyo wanaenda Msibani Kwao Kiimani na Kihaki kabisa nani ambaye Maamuzi yake yatakuwa na Thawabu au Laana kwa Mwenyezi Mungu?
Nawasilisha.
huyu kima kila akileta uzi lazima uzi wake uzue tafraniAliyekufa amekufa tu mzee awe kibaka, mcha mungu, mzinifu wote tunakufa na wewe mkuu genta utakufa sidhani kam utapenda siku umetangulia mje mtu akuandikie uzi hapa kama hivi!
wewe nenda kazike kiroho safi akuna aliye mkamilifu hapa duniani kila mtu anaondoka na yake
Iwe hivyomtu ambaye siwezi kuhudhulia msiba wake ni mwanaume aliyekuwa akipumuliwa enzi za uhai wake.
Kesho jioni hapo utakuwa na wageni lazima utaibiwa.Kuna Kijana Mmoja ambaye nadhani kama kungekuwa na Shindano la Kutafuta Vibaka Bora Tanzania nzima nina uhakika kila mara angeibuka Mshindi ila baada ya Sisi Kaka zake na Wanajamii kila mara Kumuasa na Kumuonya aachane na hiyo tabia mbaya ( japo na Sisi pia alikuwa akituibia ) hakutaka Kutusikia na hatimaye Jioni hii alienda Kuiba mahala na wamemuua.
Cha Kunishangaza kabisa wakati Mimi nikikataa kabisa kwenda Msibani Kwao kwakuwa sijaona na sioni Tija yoyote ile ya Kuhudhuria Msiba wake huyo Kibaka mzoefu kuna Watu kadhaa ambao hata Wao walishaibiwa nae mno Vitu vyao vya Thamani tu nimewaona Machozi yakiwatoka na wakisikitika Kuuwawa Kwake na wengine hivi sasa wanaenda Msibani Nyumbani Kwao.
Kama kawaida hakuna mahala ambapo huwa napaamini kuwa huwa pananijenga na nikiri pamesababisha uwezo wangu wa Kufikiri kuwa mkubwa kama Kukutana na ' Intelligent Members ' wa JamiiForums kwa Michango yao mbalimbali yenye Mantiki na Tija wameweza Kuimarisha sana Ubongo wangu hivyo naamini na hapa pia nitapata Hekima na Busara zao.
Je kati ya Mimi GENTAMYCINE niliyegoma na kuapa kabisa kuwa sitohudhuria Msiba wa huyo Kibaka Mzoefu aliyeuwawa Jioni hii na wale Wenzangu ( wana Jamii ) ambao nao pia ni Wahanga wa Kuibiwa nae wameamua hivyo hivyo wanaenda Msibani Kwao Kiimani na Kihaki kabisa nani ambaye Maamuzi yake yatakuwa na Thawabu au Laana kwa Mwenyezi Mungu?
Nawasilisha.
2. Kada wa CCM kindakindakimtu ambaye siwezi kuhudhulia msiba wake ni mwanaume aliyekuwa akipumuliwa enzi za uhai wake.
Si afadhali mwenzio mwizi kafa kiume na kwa matofali kuliko wewe utakaekufa kwenye madanguro ukijinadi
Aisee hii nayo ni thread?
Mwezi mchanga on fleekHujawahi kuwa na ' Akili ' zaidi ya ile ya Kujua ' Kutawaza / Kuchamba ' tu hiyo ' Mimavi ' yako ' Matakoni ' mwako.
Juzi tu umeandika kuwa wewe ni matawi ya twiga. Kwa maisha yako vibaka unakutana nao wapi tena?Kuna Kijana Mmoja ambaye nadhani kama kungekuwa na Shindano la Kutafuta Vibaka Bora Tanzania nzima nina uhakika kila mara angeibuka Mshindi ila baada ya Sisi Kaka zake na Wanajamii kila mara Kumuasa na Kumuonya aachane na hiyo tabia mbaya ( japo na Sisi pia alikuwa akituibia ) hakutaka Kutusikia na hatimaye Jioni hii alienda Kuiba mahala na wamemuua.
Cha Kunishangaza kabisa wakati Mimi nikikataa kabisa kwenda Msibani Kwao kwakuwa sijaona na sioni Tija yoyote ile ya Kuhudhuria Msiba wake huyo Kibaka mzoefu kuna Watu kadhaa ambao hata Wao walishaibiwa nae mno Vitu vyao vya Thamani tu nimewaona Machozi yakiwatoka na wakisikitika Kuuwawa Kwake na wengine hivi sasa wanaenda Msibani Nyumbani Kwao.
Kama kawaida hakuna mahala ambapo huwa napaamini kuwa huwa pananijenga na nikiri pamesababisha uwezo wangu wa Kufikiri kuwa mkubwa kama Kukutana na ' Intelligent Members ' wa JamiiForums kwa Michango yao mbalimbali yenye Mantiki na Tija wameweza Kuimarisha sana Ubongo wangu hivyo naamini na hapa pia nitapata Hekima na Busara zao.
Je kati ya Mimi GENTAMYCINE niliyegoma na kuapa kabisa kuwa sitohudhuria Msiba wa huyo Kibaka Mzoefu aliyeuwawa Jioni hii na wale Wenzangu ( wana Jamii ) ambao nao pia ni Wahanga wa Kuibiwa nae wameamua hivyo hivyo wanaenda Msibani Kwao Kiimani na Kihaki kabisa nani ambaye Maamuzi yake yatakuwa na Thawabu au Laana kwa Mwenyezi Mungu?
Nawasilisha.
Ulivo kuja kwa upole na uzi wako nkajua umeacha matusi. Kumbe paka hawezi acha kula samaki.Na ukiwa ni ' Mpumbavu ' Mwandamizi kama ulivyo ni lazima tu utaiona ni ya Kitoto. Na kama kumbe ulishajua ni ya Kitoto ulichoifungua na Kuisoma hadi Kuielewa na Kuijibu ni nini? Hoja za Kikubwa kama Pua lako hilo Kubwa hukuziona hapa? Swine!