Kuhonga mwanamke awamu ya 5 ni sawa na kuchangia maafa ya tetemeko Kagera

mtafiti05

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
956
593
Kati ya vitu vinavyosababisha wanaume wengi kushindwa kufikia mafanikio ni hili suala la kuhonga, bora kuwa mwanaume suruali kwa awamu hii ili kufikia malengo, wanawake wengi siku hizi hakuna anaemkataa mtu akiwa na pesa, wengi wao wafata pochi hakuna mapenzi tunaleteana ujambazi.

Bora kubaki na hamu aisee! Mwaka ukiisha kaa chini piga gharama zote kuanzia ununuzi vocha, mb, nauli, pocket, baby niazime, naomba, ninunulie simu, nguo nk yaani hizi gharama ndogo ndogo ukifanya summation utapata gharama ya kiwanja na msingi, mwaka mwingine ungejenga ukuta na kuezeka.

Jamani tutafakari na tuchukue hatua maana madhara na hasara ni kubwa sana kuliko faida, mchumba tu anakufanya kama baba yake na kwao yawezekana hawakujui, mahali bado.

MIMI KAMA NILIFANYA MIAKA YA NYUMA SAWA LAKINI 2017 SITAKI UJINGA KABISA, BORA KILA MTU ABAKI NA CHAKE.

Ahsanteni by MTAFITI
 
Hali mbaya wanawake wengi walioringa kipindi cha JK leo hii vi sms haviishi. Hata ukijisahaulisha utastukia hivyooo oh upo wewe mwanaume? Oh kimya? Oh niazime laki moja yaani ili mradi wamechacha mbaya watu hawatoi pesa ovyo. Na mbaya zaidi kama alibana then ukapata mpenzi au mchumba au huenda uneshaoa kabisa yaani ni kufuta kabisa au kublock number ya vicheche hao.
 
Kwenye budget zako za kila mwezi panga na fungu la kuhonga pia... likiisha unatulia...
 
Nafwaaaa....

Jipige mi super nyeto u kno.

I just wish kungekua na xtreme/package za mademu.....unalipa 50K u f*ck as much as u want for the whole week. Daah

Asa mtu wote twapata uroda yet all u starve for is my money. Wtf man !!

Daah kuishi bila kula K... ni mtihani sana.
 
mnaohonga kama desturi mna MATATIZO kuliko hata ya harmonize
 
Kati ya vitu vinavyosababisha wanaume wengi kushindwa kufikia mafanikio ni hili suala la kuhonga, bora kuwa mwanaume suruali kwa awamu hii ili kufikia malengo, wanawake wengi siku hizi hakuna anaemkataa mtu akiwa na pesa, wengi wao wafata pochi hakuna mapenzi tunaleteana ujambazi.

Bora kubaki na hamu aisee! Mwaka ukiisha kaa chini piga gharama zote kuanzia ununuzi vocha, mb, nauli, pocket, baby niazime, naomba, ninunulie simu, nguo nk yaani hizi gharama ndogo ndogo ukifanya summation utapata gharama ya kiwanja na msingi, mwaka mwingine ungejenga ukuta na kuezeka.

Jamani tutafakari na tuchukue hatua maana madhara na hasara ni kubwa sana kuliko faida, mchumba tu anakufanya kama baba yake na kwao yawezekana hawakujui, mahali bado.

MIMI KAMA NILIFANYA MIAKA YA NYUMA SAWA LAKINI 2017 SITAKI UJINGA KABISA, BORA KILA MTU ABAKI NA CHAKE.

Ahsanteni by MTAFITI


Hii mimi mpaka leo nabaki nashangaa, hivi mwanamke anahongwa ili iweje? Kama kutiana na kupeana raha pengine nyote mnaburudika kwa raha zenu, na isitoshe.....wewe mwanamme ndiye unayehangaika Zaidi kitandani kumpa raha mwanamke, then umlipe tena....for what? Jamani wanaume wacheni ujinga huu, mnatuangusha wenzenu tunaojiamini.
 
Msichana wa Tanzania akikwambia "baby nikwambie kitu"
My friend zima simu na utoe betri
 
Mapenzi siku hayapo Bali ni biashara, tusileteane ujambaz,

Mapenz ya dhati ni adimu kama Ajira serikalini!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom