theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Basi utaishia kula chakula cha jioni na kwenda maana mkuyenge hauwezi kusimama hata...Hahahahhahahahaha hahahahahaah mie cheusii tiiiiii
Basi utaishia kula chakula cha jioni na kwenda maana mkuyenge hauwezi kusimama hata...Hahahahhahahahaha hahahahahaah mie cheusii tiiiiii
Na vigezo vyangu mkuu, ukikidhi vigezo mbona mwenyewe utafurahi...
Basi utaishia kula chakula cha jioni na kwenda maana mkuyenge hauwezi kusimama hata...
Nikupe sh ngapi unipe 0713?Sihongwi napewa
umepewa risiti?Wasalaaam
Kwakweli hatimaye leo nimemhonga demu wangu shilingi elfu thelasini yani imeniuma sana sio siri, nimeumia mno
Natamani hata kuacha mapenzi
usikute huna hata tofaliAcha ujinga. Elfu thelathini? Mwanamke gani huyo hela ndogo hivyo?
Kuhonga ni kipaji.
Watu tunahonga nyumba na magari mazuri hata presha hatuna. We makumi kumi matatu unakuwa kama umekula pilupili ya songea ile yenye harufu na ladha kaliii.
Ushauri.
Nenda buguruni wapo saizi yako wa buku 2. Ila haijaoshwa. Imefutwa tu
Hiyo kampe mamako mzazi itamfaa sanaNikupe sh ngapi unipe 0713?
Mwanaume wa dar ktk ubora wake.
Hhahahaha uwiiiiiiiiiii kwakweli Mkuu umenifurahisha yani kama namuona anavyoomba mbunye hahahahahahaYaani we vikaratasi vitatu vinakutoa kamasi........ Kwenye kuomba mbunye sasa unavyoshupaza mishipa ya shingo ili upewe... Kuhudumia kilio msiiiiew
Hayo mambo inaonekana huyaweza piga chini fanya unachoona hakikuumiziWasalaaam
Kwakweli hatimaye leo nimemhonga demu wangu shilingi elfu thelasini yani imeniuma sana sio siri, nimeumia mno
Natamani hata kuacha mapenzi