Superbug JF-Expert Member Jan 31, 2018 12,405 30,908 Aug 6, 2018 #1 Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa
Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa
Mr Q JF-Expert Member Aug 16, 2012 16,117 33,401 Aug 10, 2018 #2 sio kosa ila kipigo chake sasa ni cha mbwa koko
Don Clericuzio JF-Expert Member Dec 8, 2017 16,936 40,518 Aug 10, 2018 #3 Unamuuliza nani? Kama ni kosa au siyo kosa unataka nini?
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,688 26,795 Aug 10, 2018 #4 superbug said: Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa Click to expand... Sio kosa ila ukienda tuu ni kosa.
superbug said: Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa Click to expand... Sio kosa ila ukienda tuu ni kosa.
Ambiele Kiviele JF-Expert Member Dec 29, 2014 15,271 29,879 Aug 10, 2018 #5 Watu wasio julikana watakutafuta popote ulipo